Enzi zetu tulilemazwa kwa kurubuniwa kuwa, eti vijana ni Taifa la KESHO
- Well, heshima mbele sana wakuu wote JF, nipo Dodoma toka majuzi kwenye ukingo wa mbio za Ubunge wa EAC, jana usiku Royal Hotel nilifanikiwa kukutana uso kwa uso na Mbunge Mpya wa Chadema Kamanda Nassari, na leo tena Bungeni nimeshuhudia kuapishwa kwake na pia kupata muda wa kuongea naye na kupiga sana picha naye, I was glad kujua kwamba ni M-JF!
- HOWEVER: Ninasema hivi in Ubunge wa Nassari, ni ushindi kwa Vijana I mean the kid is just 26 years old, and here he is leading, hebu look back ulipokuwa 26 years old then ulikuwa wapi na unafanya nini? ndio utaelewa kwamba sasa ni wakati wa Vijana, sasa hii dhana ya Vijana iende kwenye kona zote za Taifa, it does not matter Nassari anatoka chama gani, it is the message ya the big picture hapa TAIFA KWANZA!
- MUCH RESPECT CDM, SALUTE NASSARI! NA MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
William.
Magamba wanavyoi-abuse hillo jina......mh!- Mkuu wangu sana Ben, usijali sana mkuu unajua kutumikia taifa ni wito toka kwa Mungu,
easily distracted.
Cannot stand on his cause.
Opportunistic.
Befriends for his gain...
najaribu kumchambua @NYC
Tunaweza soma dhamira yako kwa unayosema, unayoandika, unayofanya.- Sasa na wewe mkuu toka lini umekuwa mtabiri wa kupiga ramli na kujua ndani ya dhamira za wengine mkuu?
William.
Magamba wanavyoi-abuse hillo jina......mh!
Huwezi kunishawishi kuwa unaamini kuwa viongozi wa serikali ya CCM, na hapa namaanisha viongozi kwelikweli sio katibu kata, wana wito kutoka kwa huyo mnayemtaja.
Tunaweza soma dhamira yako kwa unayosema, unayoandika, unayofanya.
si lazma utamke wazi.
Usiwe mnafiki mbona Wiliamu kasema CDM kuna baba na wakwe zao bungeni hapo hajaingilia familia, punguza unafiki.Tukiwa na tofauti ya kimawazo na watu tusitukane familia na watu ambao hawahusiki katika mijadala.Tujifunze utu na heshima kwa familia za watu
@NYC sihitaji kukujua kweli.- Unajua sometimes ni rahisi kuamini mada imeharibika kumbe uliyeharibika ni wewe tu, wengine tunaendelea na mada kama kawa!, Sigma unanijua kweli au unanisikia, eti ninawezaa kuwa distracted na ishu yangu? never! ninachokisimamia huwa ni mpaka mwisho! waulize wanaonijua vizuri1
William.
William, binafsi nakupongeza sana kwa kuwa mtu kiongozi mvumilivu na muelewa sana. Ama kwa hakina nimeona thread zako nyingi zinakutana na vigongo vya kila upande kutoka kwa wana CDM walivyo wengi humu JF. Natamani kama wabunge wengine wa CCM wangekuwa na ujasiri kama wako wa kuja humu with their true ID na kukutana na wanajamii.
Nimesoma jinsi unavyojibizana na wadau humu nikajisemea kama ingekuwa Nape ndo anashukiwa hivi si angesha vunja screen ya Ipad yake kwa hasira!!!
Back to story. najaribu kufikiria ingekuwa SIOI ndo kachukua jimbo pale ARU MASH hivi kweli ungethubutu kuja humu na story kama hii! come on give a break sir. yaani hiyo story yako hapo juu umeremba mno. Ila kama ina mrengo wa kampeni za PM-EA here is the wrong place, banana na wabunge huko huko Dodoma
Thank you.
@NYC sihitaji kukujua kweli.
Kwa sasa unagombe ubunge EAC.
Na tunajua unatembea kwenye reli,
na reli ina destination.
Utakapofika kwenye destined station, na lazima ufike, nepotism will work it out for you,
watanzania ambao hata sasa bado hawajui kuna mtu anaitwa William, wachilia mbali sisi tunaokujua kama @NYC, watajua hayo unayoyatetea sasa " kusimamia hadi mwisho unachokiamini"
Watchful waiting.
Huwa sipendi sana wanafiki wanaoona upande mmoja, mbona Wiliamu kasema hayohayo, hata kama mko kwa kumlamba lakini semeni na kukemea pande zote.Imani za aina hii ni hatari sana katika jamii. Kama unajua kwa kufanya hivi vyeo vinatiririka kwenye familia, si uchague na wewe mmoja kwenu mmtoe kafara ili mpate hivyo vyeo? Au kwenu hamjawahi fiwa na mtu katika familia? Jiulize na wewe ukiambiwa yule dadako, au mjomba wako au kakako aliyefariki alitolewa kafara ili wewe usome itakuwaje?
- Mkuu na wewe una makengeza? Mbona hukusema huko upande wa pili mbona nako kuna wazee na watoto wao, wazee nma wakwe zao, wazee na wake zao, hii sio hoja tena Tanzania siku hizi cause ipo kote kote na inakuibalika!, kama ni ishu basi tusafishe pande zote!
William.
Nadhani utarudi.- Umemrithi Shehe Yahaya mkuu? HAYA WAKUU NAWAHI KURUDI BUNGENI! LATER!
Willie.
Vijana ni Taifa la Kesho!!!!!
Mkuu kama umepiga picha zirushe hapa JF!
Nakuunga mkono kwenye umri kaka! hebu niambie maoni yako kuhusu umri wa urais tafadhari!