EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
- Mkuu heshim yako sana naona unachanganya kati ya Uongozi na Personality, niliongelea personality he is a great guy, kiuongozi sijui maana sijaona akiongoza, otherwise uwe amani!
William.
Akina Mbowe na Slaa unaowatukana mara kwa mara hapa JF ndio waliomfunza how to be a great guy.