Ukiisubiri kesho hutakuja iona ng'ooooooo. Kauli za kusema vijana ni taifa la kesho waache waseme. Lakini sisi vijana wenyewe tunasema vijana ni taifa la leo.Vijana ni Taifa la Kesho!!!!!
Ukiisubiri kesho hutakuja iona ng'ooooooo. Kauli za kusema vijana ni taifa la kesho waache waseme. Lakini sisi vijana wenyewe tunasema vijana ni taifa la leo.Vijana ni Taifa la Kesho!!!!!
Mimi siwezi kuamini huu upenzi kwa kutumia mgongo wa ujana, juzi wabunge wamekatwa mapanga, vijana wamemwagiwa tindikali AM hatujasikia kina Mwigulu, Nape, Januari wala wewe mnaojipambanua kuwa ni vijana wa CCM kukemea. Tusidanganyane mchana.
- - HOWEVER: Ninasema hivi in Ubunge wa Nassari,hebu look back ulipokuwa 26 years old then ulikuwa wapi na unafanya nini? ndio utaelewa kwamba sasa ni wakati wa Vijana, sasa hii dhana ya Vijana iende kwenye kona zote za Taifa, it does not matter Nassari anatoka chama gani, it is the message ya the big picture hapa TAIFA KWANZA!ni ushindi kwa Vijana I mean the kid is just 26 years old, and here he is leading,
- MUCH RESPECT CDM, SALUTE NASSARI! NA MUNGU AIBARIKI TANZANIA!
William.
Siyo mlevi amekwambia ukweli.- Hata kusoma yote nimeshindwa Great Thinker, sometimes muwe mnafikiri japo for one minute kwamba sio kwamba Dunia nzima in walevi walevi kama wewe, I mean a Great Thinker? ha! ha! ha! ha!
Willie!
Well said mkuu acha wanaoendelea kumlamba lamba wamlambe.mi sikatai kuwa ni kijana ila baba zenu kina malecela na wengineo ndo wameua ndoto zetu mpaka leo mwaka wa 4 tumemaliza vyuo vikuu hatuna hata tempo ya kufundisha primary schools kutwa tunashinda JF na neti za kuchakachua
nyie mmekulia mliokulia nje baba zenu wanawachomeka chomeka tu kwenye nyadhifa ovyo ovyo.. p*mb*vu zenu we unafikiri uyo nassari hakuhujumiwa mwaka 2010?? kinachokufanya umshangilie leo ni nini na umagamba wenu...
uyo uyo dingi yako aliyeshindwa na lusinde baada ya kushindwa tu akafukia visima vyote alivyowachimbia wana mtera
sasa kama mtoto wa nyoka sio nyoka ni nini??
au unataka kutuambia una mfill sana nassari kuliko dingi yako??
tukukuuliza mapungufu ya dingi yako uko tayari kuyaataja??
na ngojen 2015 wwe, january makamba, hussei mwinyi, riziwan kikwete na wengine ndo kushnei...
Sasa William kama unajua huu ni wakati wa Vijana wewe na uzee wako wa miaka 51 UNATAKA kutuaminisha nawe ni kijana, hahahaaaah pole sana, ujana wako ulimalizia wapi.
- Hapana, ni kawaida kwamba kwenye kila Vijana 10 watatu wataharibu, sasa haimaanishi kwamba Vijana wote hawafai Tanzania tuanze sasa kuikubali dhana ya vijana bila exceptions!
William.
Baada ya Ipyana nn kilifuata kwenye family yenu kama c mtiririko wa vyeo wakiwemo dada zako!!! Anyway saivi mtoeni kafala Samuel...
Mbona tunajua lengo lako ni nini?
Vijana ni Taifa la Kesho!!!!!
Sidhani kama wabunge wa CDM wamesahau mzee Malecela alivyohusika kuhujumu kura za Igunga, iwapo wakimpa kura mtoto wake basi wanazikubali sera za kucharangwa mapanga.wiliam,kumbuka watoto wa viongozi wa nchi hii akili zao zinafanana na baba zao.mfano=
mwinyi
kawawa
kigoma malima
msuya
lusinde
gama
kingunge
mongela
nchimbi
nnauye
nk
hivyo watoto wa viongozi hawana nia ya dhati na nchi hii kifupi hawana tofauti na baba zao.
chadema tunasema watoto wa masikini ndio wataikomboa nchi hii mf=
mdee
nasari
lema
wenje
silinde
mnyika
zito
machemli
sugu
opulukwa
nk.
kama unataka kueleweka ondoa wazo la kuungwa mkono na wana chadema.
wiliam,kumbuka watoto wa viongozi wa nchi hii akili zao zinafanana na baba zao.mfano=
mwinyi
kawawa
kigoma malima
msuya
lusinde
gama
kingunge
mongela
nchimbi
nnauye
nk
hivyo watoto wa viongozi hawana nia ya dhati na nchi hii kifupi hawana tofauti na baba zao.
chadema tunasema watoto wa masikini ndio wataikomboa nchi hii mf=
mdee
nasari
lema
wenje
silinde
mnyika
zito
machemli
sugu
opulukwa
nk.
kama unataka kueleweka ondoa wazo la kuungwa mkono na wana chadema.
Sidhani kama wabunge wa CDM wamesahau mzee Malecela alivyohusika kuhujumu kura za Igunga, iwapo wakimpa kura mtoto wake basi wanazikubali sera za kucharangwa mapanga.
- Mkuu na wewe una makengeza? Mbona hukusema huko upande wa pili mbona nako kuna wazee na watoto wao, wazee nma wakwe zao, wazee na wake zao, hii sio hoja tena Tanzania siku hizi cause ipo kote kote na inakuibalika!, kama ni ishu basi tusafishe pande zote!
William.