Nassari: Lowassa anahusika kunipiga

Nassari: Lowassa anahusika kunipiga

:bump2::bump2:

I second you,
JF ni kiboko ya watu wapenda vya bure kama hawa,na imethibitika kweli kweli kwamba ukipenda vya bure utaambulia aibu tuh,

Nadhani hii iwe fundisho kwa watu wote wenye hulka kama yake,

Bila shaka Yericko Nyerere humu jamvini kila mtu atakuwa anampuuza sasa...

Hasa hasa sisi wana chadema wenzake,

cc@Ben Saa nane Ritz zomba Boko haram

Huyo mtu hafai kabisa, kujitia kwenye familia isiyomhusu ndee wala sikio. Kuona kashikiwa bango na Andrew Nyerere akaona atafute pakutokea.
 
Last edited by a moderator:
Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari amemtuhumu Mbunge wa Monduli Edward Lowassa kwamba anahusika na kipigo alichokipata kutokana na chuki aliyonayo kwake.
....
Mwananchi ilimtafuta Kitaleki ambaye pia ni katibu tarafa, alikanusha kuhusika kwa Lowassa akielezea kuwa siku ya tukio hilo alikuwa Geita.

“Huyu Nassari ni mwigizaji na anafaa kuwa msanii kwa kuwa anaigiza tu hata hakupigwa, bali yeye ndiyo aliyempiga Wakala wa CCM, Hussein Osama ambaye ni mlemavu, kisha akatimua mbio baada ya vijana kutaka kumkamata, nashangaa kumwona yupo hospitali akidai kupigwa, siyo kweli,” alisema Kitaleki.


[FONT=om Selian to Muhimbili hospital bed.[/SIZE][/FONT]

Watu wengine hata akili za kuzaliwa hawana:

Huyu kitaleki sijui hata ukatibu tarafa aliupataje!

We huyo huyo unasema hukuwepi kwenye tukio, halafu we huyo huyo unasimulia yakiyotokea!


Sasa hapo nani Msanii
 
:bump2::bump2:

I second you,
JF ni kiboko ya watu wapenda vya bure kama hawa,na imethibitika kweli kweli kwamba ukipenda vya bure utaambulia aibu tuh,

Nadhani hii iwe fundisho kwa watu wote wenye hulka kama yake,

Bila shaka Yericko Nyerere humu jamvini kila mtu atakuwa anampuuza sasa...

Hasa hasa sisi wana chadema wenzake,

cc@Ben Saa nane Ritz zomba Boko haram
Mkuu THE BIG SHOW
Virusi ndani ya CHADEMA ndiyo aina hii ya kina Yericko Nyerere . Hawa ndiyo watu wanaoishi wakiwa wamevaa ngozi za kondoo kumbe ndani ni simba. Kwa sasa alikuwa anaishi amevaa ngozi ya UTOTO wa Mwl. Nyerere kupata "HESHIMA" ambazo anafahamu hana na hawezi kuzipata kutokana na kujitambua kama hana uwezo wa kufanya kazi kwa nguvu na maarifa ili kuzipata.

The guy is double-cross and disgusting.
 
Last edited by a moderator:
Na alivyoona Andrew Nyerere kamshikia bango kuanzia Msasani mpaka Mwitongo, akaamuwa aingie mitini na aombe mjadala ufungwe.

Nilimjuwa kuwa yu tapeli siku nyingi na kamtukanisha sana Mzee Nyerere, kwani alishadai kuwa ni "baba yangu mzazi". Ilifanya watu wengi waelewe kuwa mtakatifu to be alikuwa na mtoto wa nje.

Dah! kama ni nchi zingingine Yericko Nyerere ameshakuwa "sued" vibaya sana kwa kutumia jina ambalo halimhusu ndee wala sikio. Mimi nilimstukia na nikamwambia kuwa yu tapeli.

Eti "explanation" yake ni kuwa yeye Mhehe halafu anaitwa Nyerere na babu yake alitoka huko Kaskazini, sasa kama babu yake katoka huko huo Uhehe kaupata wapi, kadandia? Ni mtu ambae hana mantik kabisa.

Anapenda kujikweza, eti ataleta hotuba, hajaleta! eti ataonana na Chifu Mkwawa, hajarudi tena!

Mijitu mingine kwa kutafuta sifa za kijinga.
Huyu jamaa ameweza kuwauza watu wengi sana hapa JF na ninatumaini hata huko nje ya JF. He's a proffessional

Kwa Tanzania sidhani kama kuna stalking and harassment law. Huyu jamaa alitakiwa apelekwe mahakamani kwa kujipatia na kuendesha maisha yake kwa misingi ya deception, stalking and harassment kwenye familia ya Mwl. Nyerere.

Mbio zake za sakafuni zimeishia ukingoni.
 
Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari amemtuhumu Mbunge wa Monduli Edward Lowassa kwamba anahusika na kipigo alichokipata kutokana na chuki aliyonayo kwake.

Aidha amemtuhumu Spika wa Bunge, Anne Makinda kwamba naye ni miongoni mwa watu wanaomchukia pamoja na viongozi wengine wa Bunge, kwa kuwa hakuna kati yao aliyempigia simu au kumtumia ujumbe wa kumjulia hali kutokana na kipigo alichopata ambacho kimemsababishia maumivu makali.

Akizungumza jana akiwa kwenye chumba alicholazwa katika Taasisi ya Tiba ya Magonjwa ya Mifupa na Ufahamu Muhimbili (Moi), Nassari alidai Lowassa ambaye amewahi kuwa waziri mkuu kabla ya kujiuzulu, amemchukia tangu alipomshinda mkwewe Sioi Sumari, kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge uliofanyika Aprili mwaka jana.

Nassari aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Selian ya jijini Arusha kabla ya kuhamishiwa MOI, alidai kupigwa na kuchaniwa nguo na Green Guard wakati alipokuwa katika jitihada zake za kuhesabu kura kwenye uchaguzi wa udiwani wa Kata ya Makuyuni-Monduli.

“Kipigo nilichopata Lowassa anahusika ananichukia, anataka urais lakini hawezi kuupata kwa kuuumiza watu kama hivi, alifikiri kwamba nitakufa sitakufa hadi kwa mapenzi ya Mungu,” alisema.

Alisema kuna jambo ambalo wananchi wanapaswa kulifikiria ni jinsi ambavyo kumekuwa na matukio ya kutekwa na kuvamiwa, lakini hakuna yanayohusisha kiongozi wa CCM, badala yake ni raia wa kawaida na viongozi wa dini na siasa. Nassari alidai akiwa kama wakala mkuu wa Chadema katika kata hiyo, alikumbana na mambo kadhaa yaliyomshangaza, ikiwa ni pamoja na kufanyiwa jaribio la kutekwa mara mbili, kabla ya kushambuliwa kwa kipigo.

Alisema pia anashukuru kwamba askari wawili waliokuwepo katika eneo hilo walijitahidi kutaka kumnusuru, lakini walizidiwa nguvu na vijana hao, hasa kutokana na kutokuwa na bunduki, ambapo yeye alipofanikiwa kuchoropoka alikimbilia bastola yake na kuwanyoshea vijana hao bila kufyatua.

Akizungumzia kuhusu hali yake, Nassari alisema amepimwa kipimo cha X-ray ambapo imeonyesha kuwa pingili za mgongo wake zipo sawa, lakini daktari ameshauri afanyiwe kipimo kingine kiitwacho MRI ili kuangalia hali ya mishipa kutokana na maumivu makali anayoendelea kuyapata.

Aidha alitumia fursa hiyo kumshukuru Mbunge wa Kuteuliwa, Joseph Mbatia kuwa ndiye aliyemsaidia kufanya mipango kuwasiliana na uongozi wa Bunge na kumwezesha kuhamishiwa Moi, baada ya wabunge wote wa Chadema kwenda Arusha kushughulikia waliofariki kwa bomu.

Hata hivyo, Lowassa alipotafutwa kuhusiana na tuhuma hizo alikataa kuzungumzia suala hilo na kusema hilo aulizwe Msimamizi wa Uchaguzi, Paulo Kitaleki.

Mwananchi ilimtafuta Kitaleki ambaye pia ni katibu tarafa, alikanusha kuhusika kwa Lowassa akielezea kuwa siku ya tukio hilo alikuwa Geita.

“Huyu Nassari ni mwigizaji na anafaa kuwa msanii kwa kuwa anaigiza tu hata hakupigwa, bali yeye ndiyo aliyempiga Wakala wa CCM, Hussein Osama ambaye ni mlemavu, kisha akatimua mbio baada ya vijana kutaka kumkamata, nashangaa kumwona yupo hospitali akidai kupigwa, siyo kweli,” alisema Kitaleki.

Habari kwa hisani ya Mwananchi.

Photo taken from Selian to Muhimbili hospital bed.

hakupewa kipgo vizuri alipapaswa
 
huna jipya we muuza madawa ya kulevya,we na baba ako wote VILAZA TU

Mkuu unatukana watu ambao hawana hatia huyo jamaa sio mtoto wa rais ni mtu wakawaida hiyo I'd tu usitukana kiongozi wetu hajakufanya kosa lolote deal na huyo kilaza Ritz
 
Aliponyoka na.kukimbila bastola yake na.kuwanyooshea bila ya kufyatua...
 
Tubadilikini huyu jamaa kweli msanii kama kapigwa kweli kwanini mpaka leo haja mshitaki huyo lowass na ninavyo wajua chadema kwakupenda promo tungekuwa tumeshaona kwenye tv
 
Tubadilikini huyu jamaa kweli msanii kama kapigwa kweli kwanini mpaka leo haja mshitaki huyo lowass na ninavyo wajua chadema kwakupenda promo tungekuwa tumeshaona kwenye tv

mkuu wakat mwngne binafs nashukur Mungu hajakamatwa,wale wamasai walimpania haswaa.ashukur Mungu aliingia mitin
 
Back
Top Bottom