Nassari: Lowassa anahusika kunipiga

Nassari: Lowassa anahusika kunipiga

kwanza mwanzo ulitudanganya ulisema umetoroka wakati umeruhusiwa umekuja kutudanganya tena unafikiri sis ni wajinga eeeeeeeeeeeehhhh
 
Hakuna anaeaminika tena kila mmoja anavutia kwake

"To know the enemy is half the victory"

achana na siasa za tanzania,here in Tanzania we dont hav politics bt what we do is a propaganda,siasa zpo kenya,if u wana facts call on me.
 
Huyu analelewa na mashirika ya kidini! Lowassa ana mahusiano ya karibu sana na wahalifu huyu jamaa ni muuaji mpiga deal na msanii tu, hafai kuwa rais. Lakini ccm wamaeamua kumuenzi muasisi wao kwa kumgeuka na kuliingizia taifa laana kubwa. Nyerere aliwahi kulalamika kwamba wameyaacha mazuri wakayafuata mabaya. Huyu jamaa hafai kuwa rais, kabisaaaah!!!!!!

tanzania politics at its best.

Mpaka kufikia 2015 tutakuwa tumeona na kusikia mengi.

Politically, today is mh. Lowassa accusation day.

Kuna mkono wa mh. Lowassa katika dhoruba hii ya kisiasa na kidini, this is according to mh. Nassari. Is this true or is just a filthy insinuation?.

This is very serious allegation lakini wakati huo huo na yeye mh. Nassari anapigwa dongo kama ni "mwigizaji" na hata hospitali ya selian ilikuwa na angalizo tofauti ukilinganisha na kile mh. Nassari alikuwa akikisema. Mgonjwa na dakitali wake wamepishana katika kujaza hospital exit form.

Who's telling the truth ?.

Wanasiasa watendeeni haki wananchi wenu. Tanzania kwa sasa inaweweseka kwa sababu ya wanasiasa na siasa uchwara.

Hii sentensi tata sijui ina maana gani. Kwa kifupi tu tunaweza kuiweka kwa jinsi tunavyotaka na ikaleta maana.


Mh. Nassari ana maanisha kama viongozi wa ccm hawajakumbwa na dhuruba hii ya kisiasa na kidini ina maana wao ndiyo watengenezaji. Really?.

Lakini pia anasahau kuna wengine tunasikia wanajiteka na kudai wametekwa kama ilivyotokea hapa jf, zanzibar na tanzania bara (ludovick). Hawa nao sijui tuwaweke katika kundi lipi wakati vile vile hata yeye anadaiwa ni mgonjwa magumashi (faker).

Siasa za tanzania ni vituko tupu.
 
Hata mjinga ukimwambia hali hii hakika atakwambia tu ya kwamba mhusika ni EL.
Yeye aendelee kutumia kodi ya wanainchi vibaya kwani MUNGU iko muda atamrudishia majibu mchana kweupe!
Khaa!! kwa kutokupigiwa simu na kumshinda mkwewe ndiyo ahusike?? Basi wapo wajinga wengi sana:heh:
 
huu ni upuuzi na upumbavu kwa tunavyowajua wanasiasa wetu, kama Nassari angepigwa asingeacha kujionyesha kwenye media hasa tv na kauli ya daktari inatia mashaka zaidi ni wazi lengo lake ni kujenga chuki akidhani ni dhidi ya wa meru kwa lowassa na wananchi kwa ccm bila kujua na Monduli kwa chadema na dhidi ya Nassari mwenyewe.

Ni muhmu kuanza kuwa makini sana hasa na wanasiasa wetu huku chadema wakilalamika kuhusu serikali kutumia nguvu kubwa kutawanya maandamano na kusahau kuwa hata viongozi wao na aina ya wanachama wao ni watu wanaotumia ubabe kupiliza na kujiona bora kuliko watz wengine hasa kwa mkoa wa arusha jimbo la meru na arusha mjini chadema kwa kiasi kikubwa hawana uvumilivu wa kisiasa.

Lawama ni muhmu kuzitupa kwa serikali na usalama wa taifa kwa udhaifu wa wazi na kutochukua hatua kwa wavunja sheria hasa viongozi wetu wa kisiasa kuanzia Mwigulu, Nape, Lema na akina Nassari ambao kwa maslahi yao yakutafuta umaarufu wamekuwa wakijenga chuki miongoni mwa watz na ni wazi kama tutafka huko wanapotaka kutupeleka wao watakuwa miongini mwa watu wa mwanzo kabsa kutangulia!!!

Tuache ushabiki wa siasa hasa pale inapokuwa siasa inaondoa maisha ya watu, na ni wazi me sioni tofauti ya ccm na chadema kwani vyama vyote hivi ni majanga na vinapotupeleka siko ni hatari tupu, tofauti ya vyama hizi ni moja au mbili; ccm anatawala na chadema mpinzani ila kwa kauli na kuishiwa hekima na weledi wote wameishiwa.. Tusali sana kwa Amani tuliyonao kwani kwa aina ya viongozi wetu mbele ni giza kabsa.
 
CCM changa ila na Chadema nao ni walewale tofauti na ccm anatawala na chadema mpinzani.. tutaona mengi zaidi
Wacha porojo wewe, Wabunge wa CCM wana uelewa wa hali ya juu kuliko chama chochote cha siasa hapo Tz, na hawawezi kuja na kauli dhaifu kama za huyo limbukeni Nassari...
 
Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari amemtuhumu Mbunge wa Monduli Edward Lowassa kwamba anahusika na kipigo alichokipata kutokana na chuki aliyonayo kwake.

Aidha amemtuhumu Spika wa Bunge, Anne Makinda kwamba naye ni miongoni mwa watu wanaomchukia pamoja na viongozi wengine wa Bunge, kwa kuwa hakuna kati yao aliyempigia simu au kumtumia ujumbe wa kumjulia hali kutokana na kipigo alichopata ambacho kimemsababishia maumivu makali.

Akizungumza jana akiwa kwenye chumba alicholazwa katika Taasisi ya Tiba ya Magonjwa ya Mifupa na Ufahamu Muhimbili (Moi), Nassari alidai Lowassa ambaye amewahi kuwa waziri mkuu kabla ya kujiuzulu, amemchukia tangu alipomshinda mkwewe Sioi Sumari, kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge uliofanyika Aprili mwaka jana.

Nassari aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Selian ya jijini Arusha kabla ya kuhamishiwa MOI, alidai kupigwa na kuchaniwa nguo na Green Guard wakati alipokuwa katika jitihada zake za kuhesabu kura kwenye uchaguzi wa udiwani wa Kata ya Makuyuni-Monduli.

“Kipigo nilichopata Lowassa anahusika ananichukia, anataka urais lakini hawezi kuupata kwa kuuumiza watu kama hivi, alifikiri kwamba nitakufa sitakufa hadi kwa mapenzi ya Mungu,” alisema.

Alisema kuna jambo ambalo wananchi wanapaswa kulifikiria ni jinsi ambavyo kumekuwa na matukio ya kutekwa na kuvamiwa, lakini hakuna yanayohusisha kiongozi wa CCM, badala yake ni raia wa kawaida na viongozi wa dini na siasa. Nassari alidai akiwa kama wakala mkuu wa Chadema katika kata hiyo, alikumbana na mambo kadhaa yaliyomshangaza, ikiwa ni pamoja na kufanyiwa jaribio la kutekwa mara mbili, kabla ya kushambuliwa kwa kipigo.

Alisema pia anashukuru kwamba askari wawili waliokuwepo katika eneo hilo walijitahidi kutaka kumnusuru, lakini walizidiwa nguvu na vijana hao, hasa kutokana na kutokuwa na bunduki, ambapo yeye alipofanikiwa kuchoropoka alikimbilia bastola yake na kuwanyoshea vijana hao bila kufyatua.

Akizungumzia kuhusu hali yake, Nassari alisema amepimwa kipimo cha X-ray ambapo imeonyesha kuwa pingili za mgongo wake zipo sawa, lakini daktari ameshauri afanyiwe kipimo kingine kiitwacho MRI ili kuangalia hali ya mishipa kutokana na maumivu makali anayoendelea kuyapata.

Aidha alitumia fursa hiyo kumshukuru Mbunge wa Kuteuliwa, Joseph Mbatia kuwa ndiye aliyemsaidia kufanya mipango kuwasiliana na uongozi wa Bunge na kumwezesha kuhamishiwa Moi, baada ya wabunge wote wa Chadema kwenda Arusha kushughulikia waliofariki kwa bomu.

Hata hivyo, Lowassa alipotafutwa kuhusiana na tuhuma hizo alikataa kuzungumzia suala hilo na kusema hilo aulizwe Msimamizi wa Uchaguzi, Paulo Kitaleki.

Mwananchi ilimtafuta Kitaleki ambaye pia ni katibu tarafa, alikanusha kuhusika kwa Lowassa akielezea kuwa siku ya tukio hilo alikuwa Geita.

“Huyu Nassari ni mwigizaji na anafaa kuwa msanii kwa kuwa anaigiza tu hata hakupigwa, bali yeye ndiyo aliyempiga Wakala wa CCM, Hussein Osama ambaye ni mlemavu, kisha akatimua mbio baada ya vijana kutaka kumkamata, nashangaa kumwona yupo hospitali akidai kupigwa, siyo kweli,” alisema Kitaleki.

Habari kwa hisani ya Mwananchi.

Photo taken from Selian to Muhimbili hospital bed.
Wakuu huyu siyo mgonjwa aende zake huko.
 
Imefika kipindi hawa wanasiasa waache porojo na kupayuka...
Kama una ushahidi nenda kwenye vyombo stahiki kuliko kulalama...
Kwa kuendelea kulalama tu hivi, haitoi msaada kwa Nassari bali inazidi kumvimbisha kichwa mtuhumu wake...

waende kwenye vyombo gani na huko kumejaa wauaji watupu ?
 
cheap popularity + cheap politics/ = nassari.

Sent from my blackberry 9900 using jamiiforums

thank you ! Couldn't agree any more ... Describe him in one word i would say pathetic
yes nassari hes naive & pathetic
 
Huyu analelewa na mashirika ya kidini! Lowassa ana mahusiano ya karibu sana na wahalifu huyu jamaa ni muuaji mpiga deal na msanii tu, hafai kuwa rais. Lakini ccm wamaeamua kumuenzi muasisi wao kwa kumgeuka na kuliingizia taifa laana kubwa. Nyerere aliwahi kulalamika kwamba wameyaacha mazuri wakayafuata mabaya. Huyu jamaa hafai kuwa rais, kabisaaaah!!!!!!
WHO Z NYERERE KWANI NYERERE NI MUNGU ALPOWAFKS KNA SOKOINE NA ABOOD JUMBE BAADA YA KUONA WANAMZD UMAARUFU..NASARI ATAJUTA AENDELEE NA KDOMODOMO nasari Alpopewa rushwa na kna membe arumeru mbna hatusemi
 
Huyu analelewa na mashirika ya kidini! Lowassa ana mahusiano ya karibu sana na wahalifu huyu jamaa ni muuaji mpiga deal na msanii tu, hafai kuwa rais. Lakini ccm wamaeamua kumuenzi muasisi wao kwa kumgeuka na kuliingizia taifa laana kubwa. Nyerere aliwahi kulalamika kwamba wameyaacha mazuri wakayafuata mabaya. Huyu jamaa hafai kuwa rais, kabisaaaah!!!!!!
WHO Z NYERERE KWANI NYERERE NI MUNGU ALPOWAFKS KNA SOKOINE NA ABOOD JUMBE BAADA YA KUONA WANAMZD UMAARUFU..NASARI ATAJUTA AENDELEE NA KDOMODOMO nasari Alpopewa rushwa na kna membe arumeru mbna hatusemi jenga hoja ustupe hadth za nyerere 2po dgtal sasa hv
 
Kiswahili kwa kigumu, nasidie kidogo. Hivi wabunge ndo watapiga simu au ni bunge
huyu dogo hana jpya msanii mara ofs ya bunge inanitbu na imensafrisha kwenda dar!ohh spka anipend ofs ya bunge inayokutbu ipo chn ya nan..acha kutafta cheap popularty nasar utaumia umeanza siasa 2012..kwnz hauumw unataka umaarufu 2na dtail selian walkuruhusu ukaforc kwnd muhmbl
 
Kwa taarfa tu ni kwamba wananch wa Arumeru hawatak tena kumuona Nasari jimbon wanasema ameiga vurugu za lema na meru hawanaga destur ya siasa za vurugu meru,.LOWASA ANAPENDWA SANA MERU KWAN KIASILI NI WAMERU&WAMASAI LOWASA FAMILY MERU WANAMWTA LOWASA RAIS WAO
 
El hatakiwi meru wala Monduli wala kwa wana pwani (Mkaskazini huyu)atakufa vibaya.Mipango mingi il akila mara napigia bao karibu na kombe.
 
Naomba kuuliza!Hivi ule wimbo uitwao Twaiombea nchi yetu,ulioimbwa na Tanzania Gospel star,akiwemo rose muhando,massanja,bahati bukuku,upendo nkone, na wengineo hivi wanamaanisha nini?? Coz pale kwenye maombi massanja anakandamiza kuwa Mungu tupe rais mwenye maamuzi magumu na sio hawa waliopewa uwaziri kama zawadi, cjauwelewa vizuri naomba mnisaidie,kama wanampigia EL chapuo hakika 015 tutachaguana kidini na pole kwao hao wasanii na nyimbo zao eti Mungu 2saidie tusiangalie historia ya m2 huyu huko nyuma, teh teh teh hakika ni komedi huu wimbo nawaomba muutafute!
 
Nimekuwa nikifuatilia kauli ya huyu kamanda baada ya kudai kuwa , trh 16/6/13 alishambuliwa na watu (green guards) lakini kuna walakini. Nanukuu maneno yake: Kuna vijana wa green guard-ccm walinisonga kutaka kunishambulia nawapongeza police waliokuwepo eneo la tukio. Walijaribu kuwa tuliza lakini walielemewa kwa sababu walikuwa wawili na hawakuwa na slaa, nipo nikachukua bastora yangu na kuwanyoshea lakini sikushuuti ndipo wakanishambulia na kunipiga mwisho wa kunukuu. Hapa inaonyesha mheshimiwa anatumia ujanja wautumiao wachezaji wa mpira wa mguu, pindi afanyapo madhambi na kujigalagaza chini ili mwamuzi amwonee huruma. Hospital zote alizopelekwa hadi sasa vipimo vinaonyesha u mzima, pili kwa tukio linanipa mashaka ya kutoamini maneno ya Mbunge Nassari, na ishukuliwe kuwa police hawakuwa bunduki siku hiyo kwa sasa story ingekuwa nyingine. Kwa hali hii mtu angeuawa na police kusingiziwa. Mwisho kabisa Nassari aseme ukweli make naona kumbukumbe imeanza kuja. Nahisi huyu kamanda wetu walimuwahi wakati akiwa anaishanga bastola yake. Huyu kamanda aliambiwa aende jkt akagoma ona sasa anavyo dhalilishwa. Jamaa huyu haumwi ila nafikiri alipigwa kofi moja tu akaona ki-china china. Pole kamanda
 
Jamaa amenenepa sana muda mfupi ndio maana anakuwa mchovumchovu.

Angejiunga na wenzake JKT asingefikwa na hayo
 
Back
Top Bottom