Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,299
- 4,700
Kamanda vipi bana, Upo?Huyu jamaa baada ya kuangalia maendeleo ya afya yake ndio kwanza analalama kutaka apigiwe simu na watu wa CCM simuelewi kabisa.
Kamanda vipi bana, Upo?Huyu jamaa baada ya kuangalia maendeleo ya afya yake ndio kwanza analalama kutaka apigiwe simu na watu wa CCM simuelewi kabisa.
Makaburi ynafukuliwa....Makamanda mpo?Duh!
Wapo lakini kwa hakika hapa hutowaona, yule jamaa aliowaita hawa lile jina la n,,,,u hakukosea maana akili zao ndogo zaidi ya yule mnyamaMakaburi ynafukuliwa....Makamanda mpo?
Duh hii ime editiwa ama ni kweliWapo lakini kwa hakika hapa hutowaona, yule jamaa aliowaita hawa lile jina la n,,,,u hakukosea maana akili zao ndogo zaidi ya yule mnyama