Polisi wanafahamu kila kitu kuhusu hii kitu. They are part of it.Nafikiri mambo haya si ya kuyapuuzia, kunahitajika hatua za haraka. Na Polisi waliosema ahiusiani na siasa kiko wapi?
Polisi wanafahamu kila kitu kuhusu hii kitu. They are part of it.Nafikiri mambo haya si ya kuyapuuzia, kunahitajika hatua za haraka. Na Polisi waliosema ahiusiani na siasa kiko wapi?
Polisi wanafahamu kila kitu kuhusu hii kitu. They are part of it.
huruma ya wapi, utakuwa umelewa wakat unajibu hiliHizi ni propaganda za CHADEMA tu ili waonewe huruma........ kwani wameanza kushinda majimbo mwaka huu?? mbona wabunge wao wote wapo hai??? suala la kuuawa kiongozi wa chama, hata CCM aliuliwa mwenyekiti wa wilaya kule mbeya hivi karibuni, je? CHADEMA ndio walimuua?? suala la kuuana arusha halijaanza leo