MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Mbona kachukua jiko bovu hivyo??
Mbele Pasi nyuma Pasi
Lkn sishangai huyo dogo ni mbugila mbugila.
Dah! Mkuu umeua! ...
Mbona kachukua jiko bovu hivyo??
Mbele Pasi nyuma Pasi
Lkn sishangai huyo dogo ni mbugila mbugila.
Bora wa kwake anapasi,uyo wako anabomba la gesi Ntwala to dsm..Mbona kachukua jiko bovu hivyo??
Mbele Pasi nyuma Pasi
Lkn sishangai huyo dogo ni mbugila mbugila.
Mbona kachukua jiko bovu hivyo??
Mbele Pasi nyuma Pasi
Lkn sishangai huyo dogo ni mbugila mbugila.
Mbona kachukua jiko bovu hivyo??
Mbele Pasi nyuma Pasi
Lkn sishangai huyo dogo ni mbugila mbugila.
Mbona kachukua jiko bovu hivyo??
Mbele Pasi nyuma Pasi
Lkn sishangai huyo dogo ni mbugila mbugila.
Mbona kachukua jiko bovu hivyo??
Mbele Pasi nyuma Pasi
Lkn sishangai huyo dogo ni mbugila mbugila.
sasa wewe uliyejazia takko si umuombe akuowe wewe? huu wivu mwingine nini ishara yake?
Acha kabisa mke mzuri yule tena anaonekana kabis material wife si vicheche vyenu. Tofautisha mke na akina Vicky Kamata na Flora Mbasha na wale vipoozeo wa wazee!!!! Tehe Tehe!! Mke si sura, ni zaidi ya hapo!!!! Wanaotaka sura wakaoe Wema Sepetu, Kidoti, Lulu, Irine Uwoya, Anti Ezekiel na wote unaofahamu ni mastaa wenye jina mujini!!!
ha ha ha ha..., yule mzee alishaoa zaman, na watoto anao. si unajua ndoa za ki-kristo, hawez kufunga ndoa tena ndo maana ataendelea kukaa uchumba.Zitto kijana hivyo! Kuna Mzee mmoja mpaka kesho yuko na mchumba.
Mh. Makinda amesema ametangaza Bungeni kuwa Mh. Nassari atafunga ndoa Jumamosi, ila hakusema atafunga ndoa na nani? Mh. Nassari ni member humu nadhani atatudokezea kidogo.
Hongera saa Mh. Nassari.
====================
Matukio ya sherehe ya sendoff