AlishasemaMh. Makinda amesema ametangaza Bungeni kuwa Mh. Nassari atafunga ndoa Jumamosi, ila hakusema atafunga ndoa na nani? Mh. Nassari ni member humu nadhani atatudokezea kidogo.
Hongera saa Mh. Nassari.
Atamwoa halima mdee
Shida yenu nini
AlishasemaMh. Makinda amesema ametangaza Bungeni kuwa Mh. Nassari atafunga ndoa Jumamosi, ila hakusema atafunga ndoa na nani? Mh. Nassari ni member humu nadhani atatudokezea kidogo.
Hongera saa Mh. Nassari.
Hivi Slaa kawakosea nini?
we mwanamke au mwanaume? Mbona unapenda kufatilia maisha binafsi ya mtu? Wewe unatoka na nani?
Hivi harusi ya Dr Slaa tayari??
kamuulize mama yako!
mbona anna makinda yuko sexy jamani.....
Babu Slaa na Sugu wajifunze kutoka kwake.
Anangoja ujifungue ndo akuoe...
Ile tabia yake ya kutembea na majimama kule Tengeru naona sasa ataiacha...cdm viongozi wake wanapenda michepuko sana.
Ahongereke! Vp anafungia kwa Gwajima?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Michepuko imemletea KIKWETE watoto wengi sana kwake.AnatishaaaaaaaIle tabia yake ya kutembea na majimama kule Tengeru naona sasa ataiacha...cdm viongozi wake wanapenda michepuko sana.
Kwani halima mdee hajaolewa?!
Ile tabia yake ya kutembea na majimama kule Tengeru naona sasa ataiacha...cdm viongozi wake wanapenda michepuko sana.
[/TD][h=1]Hii pia ni tabia ya Slaa??[/h][TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]Tabia yake chafu ya kuiba wake za watu.
Hivi harusi ya Dr Slaa tayari??
Great sinkers?? Or thinkers!Hongereni sana Great sinkers!
ndiyo hivyo nasikia spika kamshauri amuoe huyo ili kupunguza machunga ya ile iliyo buma!atamwoa yule aliyeimba wanawake na maendeleo tufanye kazi tusone mbele.
Huyu naye bajeti ya harusi yake ni milioni ngapi vile?