Nassari kufunga Ndoa Jumamosi

Nassari kufunga Ndoa Jumamosi

Huyu naye bajeti ya harusi yake ni milioni ngapi vile?
 
Ile tabia yake ya kutembea na majimama kule Tengeru naona sasa ataiacha...cdm viongozi wake wanapenda michepuko sana.
we mwanamke au mwanaume? Mbona unapenda kufatilia maisha binafsi ya mtu? Wewe unatoka na nani?
 
Mh. Makinda amesema ametangaza Bungeni kuwa Mh. Nassari atafunga ndoa Jumamosi, ila hakusema atafunga ndoa na nani? Mh. Nassari ni member humu nadhani atatudokezea kidogo.
Hongera saa Mh. Nassari.

Nauliza Swali Kwa Mfano Wote Wanaofunga Ndoa Wakiwa Ni Wavuta Bange / Bangi Watupu Mtoto Watakayemzaa Atakuwaje? Nina Maana Kubwa Mno Kuuliza Hili Swali Na Nikijibiwa Nami Nitatiririka Kinagaubaga!
 
Mh. Makinda amesema ametangaza Bungeni kuwa Mh. Nassari atafunga ndoa Jumamosi, ila hakusema atafunga ndoa na nani? Mh. Nassari ni member humu nadhani atatudokezea kidogo.
Hongera saa Mh. Nassari.

huyu ndiye!
 

Attachments

  • nasarin.jpg
    nasarin.jpg
    9.6 KB · Views: 820
Mwache chalii naye akalale bila chupi atuletee mrejesho kule MMU

Kwa uhuru huu wafikra ccm hawarudi madarakani 2015 .nitafsiri yangu tuu,umenichekesha sanaaa ,u make my day .thanks
 
Ile tabia yake ya kutembea na majimama kule Tengeru naona sasa ataiacha...cdm viongozi wake wanapenda michepuko sana.

Duu we kweli umevurugwa unazi bora Mungu akunyime mali lakini akupe akili na maarifa
 
Ndoa ya Vicky wa ccm ya mabilioni ya pesa iliishia kwenye magazeti. aibu mpaka hospitali. Sasa subirini ya kijana wa Chadema. budget yake ndogo sana hata milioni kumi nyingi lakini itakua fundisho kwa mafisadi wa ccm kwamba ndoa si pesa za kufuja ila ni Upendo wala ndoa si utapeli. Nitahakikisha Vicky Kamata anapata kadi akajifunze vizuri mambo ya harusi
 
congrats Alumni i think we should follows your footsteps.
 
Back
Top Bottom