kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 20,142
- 24,432
- Thread starter
- #61
Membe hana njaa?!Njaa ukiuvalia sana kibwaya unawehuka kama wewe
Membe hana njaa?!Njaa ukiuvalia sana kibwaya unawehuka kama wewe
Membe hana njaa?!
Membe hana njaa?!
Wewe utakuwa mchawi tu kufurahia matatizo ya wenzio!Leo nina furaha ya hali ya juu kuona Bashite anapigwa chini na wana dsm
Wewe ndie ushindaye kutafuna makopaMembe anashida gani wewe? Yaani unajilinganisha na Membe wewe?
Kutwa mzima unapiga ndefu alafu ujilinganishe na Membe?
Ngoja akusikie kama utakaa huko maji matitu kwenu!Leo nina furaha ya hali ya juu kuona Bashite anapigwa chini na wana dsm
Membe hana njaa?!
Ngoja akusikie kama utakaa huko maji matitu kwenu!View attachment 1512223
.Ngoja akusikie kama utakaa huko maji matitu kwenu!View attachment 1512223
Hapa naona dalili ya doze kuishiwa nguvu unahitajika kuongezewa!Naona hata wewe leo unafurahia kupigwa kwake maana nasikia ndiye aliye pendekeza lumumba mpunguziwe posho toka buku 7 hadi buku 3000
Kapata namba za viatuBaada ya nassari kukaa kimya bila kuonekana kwenye vyombo vya habari kuhusu chama chake cha chadema mpaka ilipelekea chadema kuanza kuondoa imani kwake na kuzuka uvumi kuwa yupo mbioni kujiunga na ccm na hiyo ilichagizwa na madiwani wa kwenye jimbo lake kujiuzulu na kuhamia ccm
Sasa inaonekana nassari yupo katika mkakati wa kurudisha imani yake kwa wana chadema walioipoteza na kuanza kubuni mipango ya kupambana na mkuu wa wilaya na kutoa ushahidi wa video na yote ni njia ya kuwazima na kuwapoteza chadema wasifikirie lililopo kichwani mwake na mkakati wake kwa kiasi kikubwa amefanikiwa!
Natumaini muda ukifika nassari ataweka wazi kumuunga mkono JJPM
Vita ni akili
Siasa mpaka 2020!
Umevurugwa wewe!Kudadadeeeki huu uzi "mataga" mnauona kama corona iliyo muua Papaa shilandula
Sihusiki katika hili!
Mimi sijui wala sina hiyo taarifa hebu elezea watu wakuelewe!Kapata namba za viatu
Kafulila chaliiMimi sijui wala sina hiyo taarifa hebu elezea watu wakuelewe!
Waitara Kura bado mkuuKafulila chalii
Mtolea chalii
Lijuakali chaliii
Silinde Chalii
Albert Msando chalii
Jushua Nasari Chalii
Patrobas Katambi chalii
Waitara chalii
List inaendelea
Hapana, Kipara kipya alijua kama tulivyojua wengine. Kwa mtu mwenye akili haikuhitaji muda kubainiUlikuwa unafahamu kilicho nyuma ya pazia
Unaweza kuchimba kaburi lakini sio kuwa umeua, vipi bwana kipara umeumia?Wewe si ndio ulikuwa mchimba kaburi!