Nassari anavyowacheza shere CHADEMA

Nassari anavyowacheza shere CHADEMA

Leo kapigwa za shingo na tonge la ugali limekwama kooni
Hebu tupe ni kipigo cha aina gani? Cha mbwa koko kama kile cha Mtulia au TKO kama ya Makonda?
SiSiEm wamemzika kama alivyo zika yule mbwa wake wallah!
Yaani wanaua mbwa, unakuja na wewe wanaua! Hao sio watu yeye anahadaika kama kahaba!
 
Mkuu hata kama siyo muumini wa dini lkn kwa matokeo haya ndani ya ccm lazima uamini angalau kidogo kuwa mungu yupo na daima yupo na wenye masononeko juu ya kusalitiwa.

Yule wa Temeke kapigwa.

Yule wa kinondoni kagongwa

Arumeru kanyooshwa

Bashite katandikwa
Hebu tupe ni kipigo cha aina gani? Cha mbwa koko kama kile cha Mtulia au TKO kama ya Makonda?
SiSiEm wamemzika kama alivyo zika yule mbwa wake wallah!
Yaani wanaua mbwa, unakuja na wewe wanaua! Hao sio watu yeye anahadaika kama kahaba!
 
Hebu tupe ni kipigo cha aina gani? Cha mbwa koko kama kile cha Mtulia au TKO kama ya Makonda?
SiSiEm wamemzika kama alivyo zika yule mbwa wake wallah!
Yaani wanaua mbwa, unakuja na wewe wanaua! Hao sio watu yeye anahadaika kama kahaba!
Wewe si ndio ulikuwa mchimba kaburi!
 
Chaliiiii! Chezeya usaliti weye 😂😂😂
 
Chaliiiii! Chezeya usaliti weye 😂😂😂
Hawa watu wa Arumeru bila kujali ni CCM au Chadema nimependa sana misimamo yao

Wote kwa pamoja wanakubaliana na suala moja, huyu Kijana Nassari waliyempandisha daraja kutoka utotoni na kumpa hadhi ya Ubunge kwa ''jasho na damu'' ni msaliti mkubwa. Wamekubaliana hawafai kwa kishindo.

Nassari asubiri ukurugenzi au U-DC wa kuteuliwa tu. Biashara ya kuuza jimbo kwa kutohudhuria vikao vya Bunge imeisha. Of course usaliti wake haukuwa bure, alilipwa sana, lakini sasa ndio mwisho wa siasa za kuchaguliwa. Maisha yake yatakuwa ya siasa za kuteuliwa na kutenguliwa.

Haya ni matokeo mazuri sana na Wana Arumeru washukuriwe kwa kumtosa mburukenge wahedi
'
 
Baada ya nassari kukaa kimya bila kuonekana kwenye vyombo vya habari kuhusu chama chake cha chadema mpaka ilipelekea chadema kuanza kuondoa imani kwake na kuzuka uvumi kuwa yupo mbioni kujiunga na ccm na hiyo ilichagizwa na madiwani wa kwenye jimbo lake kujiuzulu na kuhamia ccm

Sasa inaonekana nassari yupo katika mkakati wa kurudisha imani yake kwa wana chadema walioipoteza na kuanza kubuni mipango ya kupambana na mkuu wa wilaya na kutoa ushahidi wa video na yote ni njia ya kuwazima na kuwapoteza chadema wasifikirie lililopo kichwani mwake na mkakati wake kwa kiasi kikubwa amefanikiwa!

Natumaini muda ukifika nassari ataweka wazi kumuunga mkono JJPM

Vita ni akili

Siasa mpaka 2020!
Ulikuwa unafahamu kilicho nyuma ya pazia
 
Baada ya nassari kukaa kimya bila kuonekana kwenye vyombo vya habari kuhusu chama chake cha chadema mpaka ilipelekea chadema kuanza kuondoa imani kwake na kuzuka uvumi kuwa yupo mbioni kujiunga na ccm na hiyo ilichagizwa na madiwani wa kwenye jimbo lake kujiuzulu na kuhamia ccm

Sasa inaonekana nassari yupo katika mkakati wa kurudisha imani yake kwa wana chadema walioipoteza na kuanza kubuni mipango ya kupambana na mkuu wa wilaya na kutoa ushahidi wa video na yote ni njia ya kuwazima na kuwapoteza chadema wasifikirie lililopo kichwani mwake na mkakati wake kwa kiasi kikubwa amefanikiwa!

Natumaini muda ukifika nassari ataweka wazi kumuunga mkono JJPM

Vita ni akili

Siasa mpaka 2020!
Kwisha habari yake
 
Hawa watu wa Arumeru bila kujali ni CCM au Chadema nimependa sana misimamo yao

Wote kwa pamoja wanakubaliana na suala moja, huyu Kijana Nassari waliyempandisha daraja kutoka utotoni na kumpa hadhi ya Ubunge kwa ''jasho na damu'' ni msaliti mkubwa. Wamekubaliana hawafai kwa kishindo.

Nassari asubiri ukurugenzi au U-DC wa kuteuliwa tu. Biashara ya kuuza jimbo kwa kutohudhuria vikao vya Bunge imeisha. Of course usaliti wake haukuwa bura, alilipwa sana, lakini sasa ndio mwisho wa siasa za kuchaguliwa.
Maisha yake yatakuwa ya siasa za kuteuliwa na kutenguliwa.

Haya ni matokeo mazuri sana na Wana Arumeru washukuriwe kwa kumtosa mburukenge wahedi
'
Wabarkiwe kabisa wametufta machozi tusiopenda usaliti
 
Mkuu hata kama siyo muumini wa dini lkn kwa matokeo haya ndani ya ccm lazima uamini angalau kidogo kuwa mungu yupo na daima yupo na wenye masononeko juu ya kusalitiwa.

Yule wa Temeke kapigwa.

Yule wa kinondoni kagongwa

Arumeru kanyooshwa

Bashite katandikwa
Shinyanga mjini pia utambi umeungua
 
Nassari ni mjinga wa kiwango cha SGR.

Wewe ni mbunge wa CDM kwa Mihula 2,wananchi wamekukibali wamekuamini wanakupenda wamekuchagua kwa kura nyingi sana.

Ghafla unasusa vikao vya bunge hutoi taarifa Bungeni wala kwa chama chako,unafukuzwa bungeni chama chako kina jaribu kukusaidia kinakimbilia Mahakamani lakini bado hoja zao za kisheria na kisiasa havifui dafu.

Bila aibu wa chembe ya busara unahama chama kwa mbwembwe unakiponda chama chako kilichokutoa mavumbini ukiwa umemaliza chuo kikuu bila uzoefu wowote.

Hakika Nassari ulistahili kushindwa,ulistahili kubeba lawama za uzembe kama si usaliti.
 
Back
Top Bottom