Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Huyo ni vuvuzela la chakubanga
akili yako ya kuzaliwa unakubali ccm kuchafuliwa ili Nassari kuwahadaa CHADEMA?
akili yako ya kuzaliwa unakubali ccm kuchafuliwa ili Nassari kuwahadaa CHADEMA?
Hebu tupe ni kipigo cha aina gani? Cha mbwa koko kama kile cha Mtulia au TKO kama ya Makonda?Leo kapigwa za shingo na tonge la ugali limekwama kooni
Hebu tupe ni kipigo cha aina gani? Cha mbwa koko kama kile cha Mtulia au TKO kama ya Makonda?
SiSiEm wamemzika kama alivyo zika yule mbwa wake wallah!
Yaani wanaua mbwa, unakuja na wewe wanaua! Hao sio watu yeye anahadaika kama kahaba!
Wewe si ndio ulikuwa mchimba kaburi!Hebu tupe ni kipigo cha aina gani? Cha mbwa koko kama kile cha Mtulia au TKO kama ya Makonda?
SiSiEm wamemzika kama alivyo zika yule mbwa wake wallah!
Yaani wanaua mbwa, unakuja na wewe wanaua! Hao sio watu yeye anahadaika kama kahaba!
Hawa watu wa Arumeru bila kujali ni CCM au Chadema nimependa sana misimamo yaoChaliiiii! Chezeya usaliti weye 😂😂😂
Ni kesho bila shaka.Waitara vipi?
Wakiuangusha tena huu mbuyu narudi ccmNi kesho bila shaka.
Ulikuwa unafahamu kilicho nyuma ya paziaBaada ya nassari kukaa kimya bila kuonekana kwenye vyombo vya habari kuhusu chama chake cha chadema mpaka ilipelekea chadema kuanza kuondoa imani kwake na kuzuka uvumi kuwa yupo mbioni kujiunga na ccm na hiyo ilichagizwa na madiwani wa kwenye jimbo lake kujiuzulu na kuhamia ccm
Sasa inaonekana nassari yupo katika mkakati wa kurudisha imani yake kwa wana chadema walioipoteza na kuanza kubuni mipango ya kupambana na mkuu wa wilaya na kutoa ushahidi wa video na yote ni njia ya kuwazima na kuwapoteza chadema wasifikirie lililopo kichwani mwake na mkakati wake kwa kiasi kikubwa amefanikiwa!
Natumaini muda ukifika nassari ataweka wazi kumuunga mkono JJPM
Vita ni akili
Siasa mpaka 2020!
Kwisha habari yakeBaada ya nassari kukaa kimya bila kuonekana kwenye vyombo vya habari kuhusu chama chake cha chadema mpaka ilipelekea chadema kuanza kuondoa imani kwake na kuzuka uvumi kuwa yupo mbioni kujiunga na ccm na hiyo ilichagizwa na madiwani wa kwenye jimbo lake kujiuzulu na kuhamia ccm
Sasa inaonekana nassari yupo katika mkakati wa kurudisha imani yake kwa wana chadema walioipoteza na kuanza kubuni mipango ya kupambana na mkuu wa wilaya na kutoa ushahidi wa video na yote ni njia ya kuwazima na kuwapoteza chadema wasifikirie lililopo kichwani mwake na mkakati wake kwa kiasi kikubwa amefanikiwa!
Natumaini muda ukifika nassari ataweka wazi kumuunga mkono JJPM
Vita ni akili
Siasa mpaka 2020!
Wabarkiwe kabisa wametufta machozi tusiopenda usalitiHawa watu wa Arumeru bila kujali ni CCM au Chadema nimependa sana misimamo yao
Wote kwa pamoja wanakubaliana na suala moja, huyu Kijana Nassari waliyempandisha daraja kutoka utotoni na kumpa hadhi ya Ubunge kwa ''jasho na damu'' ni msaliti mkubwa. Wamekubaliana hawafai kwa kishindo.
Nassari asubiri ukurugenzi au U-DC wa kuteuliwa tu. Biashara ya kuuza jimbo kwa kutohudhuria vikao vya Bunge imeisha. Of course usaliti wake haukuwa bura, alilipwa sana, lakini sasa ndio mwisho wa siasa za kuchaguliwa.
Maisha yake yatakuwa ya siasa za kuteuliwa na kutenguliwa.
Haya ni matokeo mazuri sana na Wana Arumeru washukuriwe kwa kumtosa mburukenge wahedi
'
Shinyanga mjini pia utambi umeunguaMkuu hata kama siyo muumini wa dini lkn kwa matokeo haya ndani ya ccm lazima uamini angalau kidogo kuwa mungu yupo na daima yupo na wenye masononeko juu ya kusalitiwa.
Yule wa Temeke kapigwa.
Yule wa kinondoni kagongwa
Arumeru kanyooshwa
Bashite katandikwa
Mkuu majibu umeyapata sasa hii 2020akili yako ya kuzaliwa unakubali ccm kuchafuliwa ili Nassari kuwahadaa CHADEMA?
Ongeza sauti kidogo mkuuShinyanga mjini pia utambi umeungua