Nassari aambiwa aache Kucopy na Kupaste

Nassari aambiwa aache Kucopy na Kupaste

Anakuingiliaga kinyume na Matarajio? make hapa watu wanazungumzia Ishu ya Nasari wewe unataka kubadili maada na kuleta Porojo zingine, Zito anahusika vipi hapa?

We utakuwa ni yule Arafat Ngumi jiwe Bounser anaekiri 'alipatikana' but kwa tabu kishenzi! Hujui Zitto kahusikaje? Utakuwa umesoma my comments huku unawaza jinsi 'ulivyopatikana'.
 
Hivi kwani ni lazima mtu uanzishe mada JF hata kama kile unachoandika hakina mantiki kama hiki? Tafadhali mleta mada nakuomba usishushe hadhi ya JF. Muda mwingine ni busara tu kusoma yale waliyoandika wengine na naamini utapata moja au mawili ya kujifunza.
 
Tatizo la hawa wabunge wa Chadema wanataka kuleta siasa za mwaka 1952 wakati wa kupigania uhuru. Mimi huwa wananichekesha sana wanaposema wanataka kutukomboa..
 
Hoja dhaifu sana hii inaonekana hujui kinachotokea nchini hadi mbunge aseme. Maripoti kibao yameandikwa na mashirika na taasisi mbalimbali huwa uko wapi wakati wengine tunazisoma?
 
sio mbaya mkipatia elimu ili ajifunze...ushauri ni mzuri
 
Dah alafu unalipwa kwa kazi hii?
Ningekuwa mimi hata cent sitoi kwa upuzi kama huu.

Wabunge wengi wanakula pesa zetu tu!.....(kidogo nitoe tusi kwa hasira) tena wakiongozwa na wabunge weengi wa CCM na CUF! Na hawa wa viti maalum, ndo kabisaaa!
 
Jamani shule kitu muhimu sana, eti kujua lazima ufanye kama kujua kuwa magerezani wanateseka lazima ufungwe, huyu ni MBUMBU, wa kumsamehe bure. Anatumalizia nguvu na akili za kufikiria mambo ya maana wanajf.... Mod thread ya kijinga namna hii yenye terrible non-sensical issues kwanini unakubali kuipost?
 
Jamani shule kitu muhimu sana, eti kujua lazima ufanye kama kujua kuwa magerezani wanateseka lazima ufungwe, huyu ni MBUMBUMBU, wa kumsamehe bure. Anatumalizia nguvu na akili za kufikiria mambo ya maana wanajf.... Mod thread ya kijinga namna hii yenye terrible non-sensical issues kwanini unakubali kuipost?
 
Haki ya Mungu mwaka huu mtatumika hadi kutoboka.
 
Tatizo la hawa wabunge wa Chadema wanataka kuleta siasa za mwaka 1952 wakati wa kupigania uhuru. Mimi huwa wananichekesha sana wanaposema wanataka kutukomboa..

yes! Kutukomboa kutoka kwa mkoloni sisiem iliyokosa vision za kiuongozi since mwalimu left!
R.I.P Mwalimu!
 
(...upup.u mtup.u...)

Siasa ni kila kitu, una uwanja mpana wa kuzungumza. Hivyo Nasari yuko sahihi kuzungumzia matatizo ya magerezani hata kama hajawahi fungwa!

Nasari endelea kupiga ndonga mpaka magamba yawabane!
 
Kwani lazima uanzishe thread kama huna cha kuandika?
 
Mkuu...thread yako inaonesha ni jinsi gani hujui.....do you know the sources of information?....nina wasiwasi na ELIMU YAKO na IQ yako MKUU?
 
Back
Top Bottom