Nassari aambiwa aache Kucopy na Kupaste

Nassari aambiwa aache Kucopy na Kupaste

Mfano Unapenda kuongelea ishu ya Magereza wakati hujawahi kwenda, Jana kwenye mkutano wa hapa Mwanza ulizungumzia kuhusu mateso ya wafungwa walivyokuwa wanakueleza jinsi walivyofungwa kwa kusingiziwa wakati siyokweli kwamba wewe ndiyo ulikuwa magereza bali Alikuwa ni Lema! kwanini unashindwa kusema Na Nukuu kutoka kwa Lema?

Mkuu kwani lazima uende mahakamani ndio ujue kwamba wafungwa wanateswa ?

Hata mimi mahakamani sijawahi kukanyaga ila wafungwa wengi tu walioshawahi kufungwa waliniambia kuwa wanateswa na kusingiziwa..., Je na mimi nimecopy ?
 
Dah! nyie watu kiboko......LEO MMEEAMIA KWA NASSARI!
vipi kwa akina Mdee, Sugu mmeshakamilisha?
Ebu oneni aibu kidogo.
 
In fact ulichoandika kinachefua sana.Ina maana ukitaka kuandika habari ya kitu lazima ukione,ukiishi,?Huu ni upuuzi.Mfano, japo sijawahi kufika Marekani,Je siwezi kuangalia television na kuandika makala?Wana jf nisaidieni.
Wanajf.
Nimeamua kuja hapa kuweka mambo haya sawa, Kijana wetu na mdogo wetu Nassari alionekanika ni kijana machachari mbele mwa jamii pale anapokuwa jukwaani na sehemu nyinginezo hili halina ubishi kabisa.

Jana na Juzi kulikuwa na mikutano ya CDM Moshi na Mwanza ambayo Dogo janja alihudhuria na kupewa nafasi ya kuhutubia kama mbunge, Naomba niongelee hili la Mwanza maana la Moshi sikuwepo zaidi ya kusikiliza kwenye Redio.

Nassari inabidi uwe wewe kama wewe acha kucopy na kupaste maana unapocopy ni lazima utaje nukuu ya mtu fulani ila wewe unasema kama wewe ndiyo umefanya hicho kitendo wakati siyo wewe, Mfano Unapenda kuongelea ishu ya Magereza wakati hujawahi kwenda, Jana kwenye mkutano wa hapa Mwanza ulizungumzia kuhusu mateso ya wafungwa walivyokuwa wanakueleza jinsi walivyofungwa kwa kusingiziwa wakati siyokweli kwamba wewe ndiyo ulikuwa magereza bali Alikuwa ni Lema! kwanini unashindwa kusema Na Nukuu kutoka kwa Lema? kama ambavyo Lema Anapenda kunukuu Wanaharakati mbalimbali kama steve Biko, Martin Luther nk.. ni Lazima ubadilike utafute mkakati mwingine wa jukwaani wewe ni kiongozi sasa unaongoza jimbo wananchi wako wangependa kukusikia Nassari na siyo Lema.

Najua waweza kwazika ila huwo ndiyo ukweli kuwa wewe kama wewe Level uliyofikia siyo ya kuwa hivyo, Badilika Tunakupenda ndiyo maana tunakuambia ukweli urudi kwenye mstari maana watu makini hukushusha na kusema umebebwa na upepo.... Natumaini salamu hizi zitakufikia na utazisikia.... jiulize kwanini kamanda Mawazo hakopy na kupaste? Samahani lakini..
 
ma çcm wapi hamna jipya nyie wabunge wenu wanapenda umàrufu wakati hawajui mambo we kama huyo nasari ati alimkataza JK kufikaàrumeru chadema ni kichaka cha wevi
Tangu akataliwe huyo kilaza na dogo janja kwani alishafika Arumeru???? mkuu acha uropokaji
 
Mkuu Kibacha, mtoa post hakika wewe ndo unacopy na kupaste hayo mabwabwaja!!! Nikiwa Arusha Mwaka jana Mahakama kuu nilimuona Nassari akija na kisha kuongea na wafungwa na mahabusu na kisha kuwapatia vitu mbalimbali km Sabuni, mafuta ya kupaka nk. Ilikuwa ni siku ya kesi ya watuhumiwa ktk kesi ya Mweyekiti wa CDM aliyeuawa kinyama Arumeru ktk uchaguzi mdogo wa ubunge, hivyo basi utambue kujua matatizo ya wafungwa ama mahabusu magerezani sio lazima ufungwe,, bado kuna tafiti kibao zinaeleza.
 
Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake.

Leo Mh. Lema tu ndy anaushahidi wa matatizo ya watz.

Ndy maana Dhaifu alisema hajui sababu ya umasikini wa watanzani,naona yy hata kucopy na kupaste hajui.
 
Baada ya confrontation ya Leo bungeni, hatimaye kamati ya uongozi ambayo inaongozwa na spika na ikiwa na mwakilishi mmoja Wa Chadema Kwa niaba ya kiongozi ya upinzani Tundu Lissu alihudhuria. Kamati ineamua kuiondoa kabisa hoja ya Nassari iliyokuwa imepangwa kusomwa kesho jumanne juu ya mwenendo Wa baraza la mitihani unavuoathiri mwenendo Wa elimu Tanzania. Ili kionisuru serikali na kuonfoa uwezekeano Wa hoja hii kuirejea hoja ya mbatia kupitia hoja ya Nassari imepigwa chini kujadiliwa kesho wakati ilikuwa kwenye Ratiba ya bunge kesho na ilishapita tangu mwaka mwezi oktoba. Hoja za wabunge Wa ccm mwigulu na kigwanhala zote zomepita. Hoja za upinzani mbatia, Mnyika zimepiondolewa na hoja ya Nassari imekataliwa kusomwa kabisa kesho. Kamati ya uongozi ki kanuni haipaswi kuondoa hoja Kwa sababu ya vurugu za bungeni Bali kamati ya kanuni. Uonevu mkubwa dhidi ya Nassari na Wapinzani wote bungeni.
 
Kikao kinefanyika jioni hii kwenye ukumbi Wa spika bungeni. Mpinzani pekee aliyekuwepo ni lissu, uongozi Wa binge na uongozi Wa kamati zote za kidumu za bunge pamoja na wenyeviti wote Wa bunge walikuwepo.
 
Ningependa kupata sababu za msingi kuiondoa hoja binafsi hii. Wakati mwingine ni vizuri kujadili hizi changamoto kwa uwazi na hasa hizi ambazo zinagussa mstakabari wa taifa letu siku zijazo.
 
ningependa kupata sababu za msingi kuiondoa hoja binafsi hii. Wakati mwingine ni vizuri kujadili hizi changamoto kwa uwazi na hasa hizi ambazo zinagussa mstakabari wa taifa letu siku zijazo.

hata mimi ningependa kuijua sababu ingawa najua ukiuliza swali hili kwa wahusika utapewa jibu jepesi kama kawaida yao kwamba wamepata taarifa ya kiintelejensia kufanya hivyo
 
naona sasa hivi marefa(spika na naibu wake) wameamua kuibeba Yanga(CCM) wazi wazi..... wapinzani kazi mnayo mwaka huu
 
Hoja zao zimejaa malalamiko yanayolenga kukichafua chama, hata ungekuwa wewe ungezipiga chini..!
 
naona kama nguvu inahitajita maana diplomasia imeshindikana..hao maspika watembezewe vichapo hata kama bush alivopigwa na kile kiatu.
 
Hiyo ya mwenendo wa baraza la mitihani ingekuwa mwiba mkubwa sana kwa serikali hawawezi kuikubali!
 
Hoja zao zimejaa malalamiko yanayolenga kukichafua chama, hata ungekuwa wewe ungezipiga chini..!
Mkuu nadhani sio malalamiko ya kuchafua chama ila ni malalamiko ya watoto wa mkulima wapate elimu bora, uwezo wa kupeleka watoto wetu kwenye hizi shule munazoita za kiingereza wengine hatuna uwezo huo, sasa anapotokea mtu wa kutukumbuka msione kama analalamika kutafuta sifa, nasisi tunahitaji elimu bora kwa wenetu.........kila siku nyinyi tu.
 
Mkuu nadhani sio malalamiko ya kuchafua chama ila ni malalamiko ya watoto wa mkulima wapate elimu bora, uwezo wa kupeleka watoto wetu kwenye hizi shule munazoita za kiingereza wengine hatuna uwezo huo, sasa anapotokea mtu wa kutukumbuka msione kama analalamika kutafuta sifa, nasisi tunahitaji elimu bora kwa wenetu.........kila siku nyinyi tu.
Hujanielewa vizuri, ni sisi chama ndo tumesababisha matatizo uliyoyataja hapo juu, ni sisi chama ndo janga la kitaifa, ni sisi chama ndo tumesababisha nchi kuwa na 90% mambo mabaya with only 10% mambo saafii..! Kumbuka Kigoma kuna majombo 8 ya uchaguzi na 5 ni upinzani 3 yetu, kule kaskazini tafuta uwiano mwenyewe. Sasa tukisikiliza waziwazi hoja za wapinzani 2015 tutaanguka zaidi. What we do ni kuzipiga chini hizo hoja halafu tunazifanyia kazi kimya kimya halafu mwisho wa siku tunasema sisi chama ndo tume-initiate hizo mambo so we deserve credits..!
 
pole sana, inaonekana unamjua nassari nje ndani,ndani nje. je hakuna wafungwa wanaokuwa huru?je huwezi kujifunza kulingana na matukio?unaweza kutuhakikishia kuwa nasari hajawahi kwenda magereza? au leo hii hakuna mtu ajuaye kuwa huduma za hospitali zetu za serikali siyo bora ingawaje hajalazwa ila kwa kuona kupitia ndugu,jamaa au marafiki?
fikiria kwanza


Wanajf.
Nimeamua kuja hapa kuweka mambo haya sawa, Kijana wetu na mdogo wetu Nassari alionekanika ni kijana machachari mbele mwa jamii pale anapokuwa jukwaani na sehemu nyinginezo hili halina ubishi kabisa.

Jana na Juzi kulikuwa na mikutano ya CDM Moshi na Mwanza ambayo Dogo janja alihudhuria na kupewa nafasi ya kuhutubia kama mbunge, Naomba niongelee hili la Mwanza maana la Moshi sikuwepo zaidi ya kusikiliza kwenye Redio.

Nassari inabidi uwe wewe kama wewe acha kucopy na kupaste maana unapocopy ni lazima utaje nukuu ya mtu fulani ila wewe unasema kama wewe ndiyo umefanya hicho kitendo wakati siyo wewe, Mfano Unapenda kuongelea ishu ya Magereza wakati hujawahi kwenda, Jana kwenye mkutano wa hapa Mwanza ulizungumzia kuhusu mateso ya wafungwa walivyokuwa wanakueleza jinsi walivyofungwa kwa kusingiziwa wakati siyokweli kwamba wewe ndiyo ulikuwa magereza bali Alikuwa ni Lema! kwanini unashindwa kusema Na Nukuu kutoka kwa Lema? kama ambavyo Lema Anapenda kunukuu Wanaharakati mbalimbali kama steve Biko, Martin Luther nk.. ni Lazima ubadilike utafute mkakati mwingine wa jukwaani wewe ni kiongozi sasa unaongoza jimbo wananchi wako wangependa kukusikia Nassari na siyo Lema.

Najua waweza kwazika ila huwo ndiyo ukweli kuwa wewe kama wewe Level uliyofikia siyo ya kuwa hivyo, Badilika Tunakupenda ndiyo maana tunakuambia ukweli urudi kwenye mstari maana watu makini hukushusha na kusema umebebwa na upepo.... Natumaini salamu hizi zitakufikia na utazisikia.... jiulize kwanini kamanda Mawazo hakopy na kupaste? Samahani lakini..
 
Back
Top Bottom