Nassari aambiwa aache Kucopy na Kupaste

Nassari aambiwa aache Kucopy na Kupaste

Wanajf.
Nimeamua kuja hapa kuweka mambo haya sawa, Kijana wetu na mdogo wetu Nassari alionekanika ni kijana machachari mbele mwa jamii pale anapokuwa jukwaani na sehemu nyinginezo hili halina ubishi kabisa.

Jana na Juzi kulikuwa na mikutano ya CDM Moshi na Mwanza ambayo Dogo janja alihudhuria na kupewa nafasi ya kuhutubia kama mbunge, Naomba niongelee hili la Mwanza maana la Moshi sikuwepo zaidi ya kusikiliza kwenye Redio.

Nassari inabidi uwe wewe kama wewe acha kucopy na kupaste maana unapocopy ni lazima utaje nukuu ya mtu fulani ila wewe unasema kama wewe ndiyo umefanya hicho kitendo wakati siyo wewe, Mfano Unapenda kuongelea ishu ya Magereza wakati hujawahi kwenda, Jana kwenye mkutano wa hapa Mwanza ulizungumzia kuhusu mateso ya wafungwa walivyokuwa wanakueleza jinsi walivyofungwa kwa kusingiziwa wakati siyokweli kwamba wewe ndiyo ulikuwa magereza bali Alikuwa ni Lema! kwanini unashindwa kusema Na Nukuu kutoka kwa Lema? kama ambavyo Lema Anapenda kunukuu Wanaharakati mbalimbali kama steve Biko, Martin Luther nk.. ni Lazima ubadilike utafute mkakati mwingine wa jukwaani wewe ni kiongozi sasa unaongoza jimbo wananchi wako wangependa kukusikia Nassari na siyo Lema.

Najua waweza kwazika ila huwo ndiyo ukweli kuwa wewe kama wewe Level uliyofikia siyo ya kuwa hivyo, Badilika Tunakupenda ndiyo maana tunakuambia ukweli urudi kwenye mstari maana watu makini hukushusha na kusema umebebwa na upepo.... Natumaini salamu hizi zitakufikia na utazisikia.... jiulize kwanini kamanda Mawazo hakopy na kupaste? Samahani lakini..

Nenda kalale,pitia kwanza ikulu ya nyumba unayoishi,usijepitiwa usingizini uka.....
 
Bila shaka ujumbe umemfikia Nassari....
Twahtaji SCHOLARY SPEECHES... Quoting with references...
.. THE LIKES OF MSIGWA wa IRINGA..
Aseee..sio unaongea ongea tu kama una VIROBA kichwani..c wajua ARUSHA HUKO...
 
Wanajf.
Nimeamua kuja hapa kuweka mambo haya sawa, Kijana wetu na mdogo wetu Nassari alionekanika ni kijana machachari mbele mwa jamii pale anapokuwa jukwaani na sehemu nyinginezo hili halina ubishi kabisa.

Jana na Juzi kulikuwa na mikutano ya CDM Moshi na Mwanza ambayo Dogo janja alihudhuria na kupewa nafasi ya kuhutubia kama mbunge, Naomba niongelee hili la Mwanza maana la Moshi sikuwepo zaidi ya kusikiliza kwenye Redio.

Nassari inabidi uwe wewe kama wewe acha kucopy na kupaste maana unapocopy ni lazima utaje nukuu ya mtu fulani ila wewe unasema kama wewe ndiyo umefanya hicho kitendo wakati siyo wewe, Mfano Unapenda kuongelea ishu ya Magereza wakati hujawahi kwenda, Jana kwenye mkutano wa hapa Mwanza ulizungumzia kuhusu mateso ya wafungwa walivyokuwa wanakueleza jinsi walivyofungwa kwa kusingiziwa wakati siyokweli kwamba wewe ndiyo ulikuwa magereza bali Alikuwa ni Lema! kwanini unashindwa kusema Na Nukuu kutoka kwa Lema? kama ambavyo Lema Anapenda kunukuu Wanaharakati mbalimbali kama steve Biko, Martin Luther nk.. ni Lazima ubadilike utafute mkakati mwingine wa jukwaani wewe ni kiongozi sasa unaongoza jimbo wananchi wako wangependa kukusikia Nassari na siyo Lema.

Najua waweza kwazika ila huwo ndiyo ukweli kuwa wewe kama wewe Level uliyofikia siyo ya kuwa hivyo, Badilika Tunakupenda ndiyo maana tunakuambia ukweli urudi kwenye mstari maana watu makini hukushusha na kusema umebebwa na upepo.... Natumaini salamu hizi zitakufikia na utazisikia.... jiulize kwanini kamanda Mawazo hakopy na kupaste? Samahani lakini..
Kaka,samahani kwa kausumbufu,nakuomba utafute sheria za tz kuna watu wanaitwa VISITING JUSTICE ambao kazi yao ni kutembelea magerezani kwa ajili ya ukaguzi ili kujua hali halisi ya magereza na wafungwa.WABUNGE ni mojawapo wa watu hao,.aidha kuna kamati za Bunge ambazo majukumu yake ni mtambuka nao wanawatembelea wafungwa kwa majukumu yao,je tuna uhakika wowote kwamba Nassari hajawahi kufika magereza na kuzungumza na wafungwa na mahabusu ili kujua matatizo yao?mana ni wananchi pia.Akili za kuambiwa........,bila utafiti....
 
We acha hizo kujua mateso ya wafungwa lazima ufike jela maandiko mangapi yameandika tume ngapi zimesema haya kuna watu wamekaa jela nao wamehadithia wanaosoma mlima mlefu afrika ni kilimanjaro watu wangapi wameuona watz. Hoja dhaifu hiyo haya hao tuliowapa dhamana hawasemi na wanakaaa huko muda wote. Jiulize kamishna wa magereza anayajua magereza mangapi je waziri wa mambo ya ndani wanapewa habari na kusema. Mkuu hapa sikuuingi mkono.
 
Wanajf.
Nimeamua kuja hapa kuweka mambo haya sawa, Kijana wetu na mdogo wetu Nassari alionekanika ni kijana machachari mbele mwa jamii pale anapokuwa jukwaani na sehemu nyinginezo hili halina ubishi kabisa.

Jana na Juzi kulikuwa na mikutano ya CDM Moshi na Mwanza ambayo Dogo janja alihudhuria na kupewa nafasi ya kuhutubia kama mbunge, Naomba niongelee hili la Mwanza maana la Moshi sikuwepo zaidi ya kusikiliza kwenye Redio.

Nassari inabidi uwe wewe kama wewe acha kucopy na kupaste maana unapocopy ni lazima utaje nukuu ya mtu fulani ila wewe unasema kama wewe ndiyo umefanya hicho kitendo wakati siyo wewe, Mfano Unapenda kuongelea ishu ya Magereza wakati hujawahi kwenda, Jana kwenye mkutano wa hapa Mwanza ulizungumzia kuhusu mateso ya wafungwa walivyokuwa wanakueleza jinsi walivyofungwa kwa kusingiziwa wakati siyokweli kwamba wewe ndiyo ulikuwa magereza bali Alikuwa ni Lema! kwanini unashindwa kusema Na Nukuu kutoka kwa Lema? kama ambavyo Lema Anapenda kunukuu Wanaharakati mbalimbali kama steve Biko, Martin Luther nk.. ni Lazima ubadilike utafute mkakati mwingine wa jukwaani wewe ni kiongozi sasa unaongoza jimbo wananchi wako wangependa kukusikia Nassari na siyo Lema.

Najua waweza kwazika ila huwo ndiyo ukweli kuwa wewe kama wewe Level uliyofikia siyo ya kuwa hivyo, Badilika Tunakupenda ndiyo maana tunakuambia ukweli urudi kwenye mstari maana watu makini hukushusha na kusema umebebwa na upepo.... Natumaini salamu hizi zitakufikia na utazisikia.... jiulize kwanini kamanda Mawazo hakopy na kupaste? Samahani lakini..

Nitamwambia awe anashusha matusi kama Nchemba next time au Lusinde maana ndiyo safi zaidi siyo
 
Yaani kumbe huwa mnapondana wenyewe kwa wenyewe, nadhani hapa Kilewo alikuwa hajaverify username yake
 
Back
Top Bottom