Nasikia eti...supesho slidi

Socw

JF-Expert Member
Aug 27, 2016
1,304
2,583
Nasikia eti ugali wa dar ni mlaini kiasi kwamba ukitumbukiza sarafu ya shilingi hamsini, inazama...
 
Ndo upi huo, mbona ugali wa hapa home sarafu inabounce afu sio mweupe sijui ni unga gani huu!
 
Naskia eti wanaume wa dar ni wazee wa mishemishe hawajalishi kuwa ugali ni mlaini au laa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…