Nasikia eti...supesho slidi

Socw

JF-Expert Member
Aug 27, 2016
1,304
2,577
Nasikia eti ugali wa dar ni mlaini kiasi kwamba ukitumbukiza sarafu ya shilingi hamsini, inazama...
 
Ndo upi huo, mbona ugali wa hapa home sarafu inabounce afu sio mweupe sijui ni unga gani huu!
 
Naskia eti wanaume wa dar ni wazee wa mishemishe hawajalishi kuwa ugali ni mlaini au laa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom