Nashukuru sijala Krismasi

Nashukuru sijala Krismasi

Ishi upendavyo tusifanane tutakua wajinga na wapuzi wewe kuwa tofauti ni vizuri
 
Quran inasema tofauti na bukhari,na Quran ndiyo yenye uislam
Quran inasema mmehalalishiwa chakula cha waliopewa kitabu(kile cha halali) na chakula chenu ni halali kwao
Nakushauri fuata Quran badala ya vitabu vinavyowaweka waislam mbali na Quran
Wakiristo wa leo wamepewa kitabu yaani ndio Ahlu kitab?
 
20251226_152434.jpg
 
Kama jana haukula chakula chochote hata nyumbani kwako 24 hours hongera ila kama ulikula basi ulikula msosi wa Christmas
 
Back
Top Bottom