Kwa karne hii hakuna mtu mwenye kipato awe na maisha mnayoyadhania hata muuzaji karanga ana maisha mazuri nashangaa kusikia hili juu ya walimu hizi ni akili za kufungiwa ndo maana mtu anakuja na mada kama hii tatizo lenu mnajua vx ndo maisha ilhali hata wenye vx hawana maisha mfikiri nje ya box kufanikiwa ni akili ya mtu sio kada yakeukweli unauma
Wala mi si mwalimu hata ningekuwa doctor bado vx v8 sijaiwinKuwa mpole Mwalimu
Mwalimu uvumilivu umemtoroka.Kuwa mpole Mwalimu
Kuwa programmer siyo lazima uende chuo, labda kama mwenyewe umeamua kuiua ndoto yako !Mimi najuta kwann sikupata mtu wa kunendeleza kielimu hadi ndoto yangu ya kua Programmer ikafa. BTW maisha bila elimu yanawezekana
Mimi sipo kwenye ualimu wala sjasomea Education haya nyinyi msio waalimu ni swala dogo tuonesheni hizo vx !!kwaajira za bongo bado sana hizo gari kumiliki mwajiriwa wa JMT!!Mwalimu uvumilivu umemtoroka.![]()
Kwa nini wa kike tu, wana shahara mkubwa kwa sababu ya jinsia zao?Walimu wanastress sana aseee nawaonea huruma sana yaani walimu wenye magari ni walimu wakike tu mfano mzuri ni walimu wa shule ya msingi
Mimi sipo kwenye ualimu wala sjasomea Education haya nyinyi msio waalimu ni swala dogo tuonesheni hizo vx !!kwaajira za bongo bado sana hizo gari kumiliki mwajiriwa wa JMT!!
Emb sema kazi yako Acha kuzunguka mbuyu we mwalimTatizo sio VX pekee mkuu tatizo na stress zao msimu huu si mchezo cjui ningekuwa mwalimu leo hii ningekuwa na hali gani?
Ouk bas atoe neno vx aandike ugumu wa maisha ya walimu sio kununua vxContext sio VX .. Ugumu wa maisha ya waalimu ndicho kinazungumzwa hapa.
Umesema unapiga vitempo manake hujawa mwalimu by professional,sasa wew ninan?Mkuu mbn swal rahisi Tu?Soma uzi mkuu
Mbona uzi unajieleza nilitaka kuchukua education bahati nzuri brother kaninjenchia nimebadili Course na kusomea mambo ya Afya aya now nipo napiga vitempo tu sina habari japo ajira mzozo.Umesema unapiga vitempo manake hujawa mwalimu by professional,sasa wew ninan?Mkuu mbn swal rahisi Tu?
wacha porojo dogoKatika kazi niliyokuwa naipenda kweli kweli basi ni uwalimu, hta pale nilipokuwa nasoma ndoto zangu zilikuwa siku moja nije kuwa mwalimu.
Nilipomaliza tu elimu yangu direct nikaaply education nikachaguliwa.
Kitu ambacho kilinishtua ni kwamba muda ambao nasubiri kwenda chuo nilikuwa kwa brother na bro alivyoniuliza nilimueleza nia yangu ya kusomea uwalimu.
Alinicheki kwa dharau alafu akanizaba kibao kimoja matata na kuniuliza umeshawahi kumuona mwalimu mwenye VX, au ata land cruiser aliyonunua akiwa kazini?
Nikamjibu hapana ?
Akaniuliza tena umeshawahi kumuona mwalimu alieyejenga nyumba ya kueleweka akiwa kazini?
Nikasema hapana.
Akasema basi achana na hilo wazo lako mfu jioni huyo kanipakiza kwenye mgari wake nasema mgari kwa sababu ni gari siyo ki vitz akanipeleka chuo na kuchukua moja kati ya kozi ya afya mukide kabisa.
Japo mpaka leo ajira hazijatoka ila napiga zangu temporary tu kwa wana leo napiga hapa kesho pale siku zinaenda ningesomea uwalimu sijui hiyo temporary ningepigia wapi na wakati sasa hivi elimu bure.