Nashukuru kwa ukaribisho

Kiumbe duni

Senior Member
Dec 3, 2011
100
8
Nashuru wana jf wote kwa ukaribisho. Nimeupenda sana huu mtandao ila kutokana na ugeni wangu wa kutumia mtandao pamoja na uzoefu nimekuwa nikikosea sana kutuma post zangu, badala ya kukaa jamvini zimekua zikienda direct kwa mhusika. Sorry kwa waliopata usumbufu huu, ninaendelea kupata uzoefu. Ahsanteni sana.
 
Nashuru wana jf wote kwa ukaribisho. Nimeupenda sana huu mtandao ila kutokana na ugeni wangu wa kutumia mtandao pamoja na uzoefu nimekuwa nikikosea sana kutuma post zangu, badala ya kukaa jamvini zimekua zikienda direct kwa mhusika. Sorry kwa waliopata usumbufu huu, ninaendelea kupata uzoefu. Ahsanteni sana.

Madhani najila lako linachangi yote hayo!
Karibu !
 
Back
Top Bottom