Kiumbe duni
Senior Member
- Dec 3, 2011
- 100
- 8
Nashuru wana jf wote kwa ukaribisho. Nimeupenda sana huu mtandao ila kutokana na ugeni wangu wa kutumia mtandao pamoja na uzoefu nimekuwa nikikosea sana kutuma post zangu, badala ya kukaa jamvini zimekua zikienda direct kwa mhusika. Sorry kwa waliopata usumbufu huu, ninaendelea kupata uzoefu. Ahsanteni sana.