wanajua kuwa hawawezi kuuza filamu zao bila kuweka maeneo mengi ya mapenzi,wanajua wabongo wengi wanavutiwa na michezo ya ngono au ifananayo.Ukifanya utafiti utaona % kubwa ya hizi picha ni wadada wanakaa nusu uchi ili kuvuta hisia za watu wanaopenda ngono na kuangalia hii pia angali makava yao.Bora nyie mnaziangalia mimi kwa zile nilizoziona basi nimeziona kwenye basi ninaposafiri,vinginevyo ni heri nimsikilize jangala na mzee mundu ila sio kucheki uchafu