Kwa sasa uko katika ndoa? Kutumia sindano au madawa yoyote ni kuweka maabala tumboni.
Ni laana kubwa kutumia majira wakati uko nje ya ndoa, miaka 25 ni binti mdogo tu ambaye bado sana.
Nakuomba uingie kiroho zaidi umwombe Mungu kwa kupita njia sahihi za kufunguliwa.
Ukihitaji msaada zaidi usisite kunitafuta
Ni laana kubwa kutumia majira wakati uko nje ya ndoa, miaka 25 ni binti mdogo tu ambaye bado sana.
Nakuomba uingie kiroho zaidi umwombe Mungu kwa kupita njia sahihi za kufunguliwa.
Ukihitaji msaada zaidi usisite kunitafuta