Nashindwa kumweleza ukweli

inawezekana mkeo alishapima na anajua hali mlizo nazo, ila jinsi ya kukueleza ilikuwa ni kukwambia mkapime wote (am just thnkg loudly). maana kwa ss wanawake unapokuwa preg kupima ni lazima sio hiari. kuna mawili; (1) mueleze mkeo hali halisi (2) kubaliana na ombi lake, mchukue muongozane mkapime wote. ila pia ni vizuri kupat second and thir thought, kapime tena vituo vingine kama viwili au vi3
 

chukua hatua za kumueleza mkeo ili mpate ushauri wa daktari kama mko affected muweze kumlinda mtoto
 
Dah! Ngumu kumeza, pole but ndo maisha yalivyo, cha msingi mchukue mkeo mwende hospital au kituo kingine mkapime wote, wakati huo wewe ukijifanya hujui lolote kuhusu hali yako. Then baada ya majibu sasa kama mkeo atakuwa hana maambukizi muhudumu wa afya atawashauri jinsi ya kuishi ili mkeo asipate maambukizi lkn kama mkeo atakutwa na maambukizi hapo pia mtashauriwa jinsi ya kuepusha maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto, so wahi mapema kumuokoa mtoto aliyeko tumboni,plz!
 

wat the heck was he thnking kwends kupima AU??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…