Milele amina,<br />
Mkuu inaonekana unamtaka huyo binti (siwezi eleza zaidi)<br />
<br />
Try this:-<br />
Mpigie simu,mwamibe una shida kubwa sana<br />
na ungependa kupata kiasi flani cha hela toka kwake (mtajie ulicho mkopesha au zaidi,ntafafanua)<br />
with confidence,usiwe kama unamdai we mwambie tu unashida na kiasi hiko cha pesa.<br />
<br />
Reaction:-<br />
1.Kama umemwomba kiasi kile kile ulicho mkopesha na hela anayo basi <br />
uwezekano wa kukupa kiasi chote ni mdogo sana kama alikua anakutaka wewe (vice versa ya statement ya pili)<br />
Anaweza akupe kidogo,au akupige chenga kabisa.<br />
<br />
2.Ukiomba nyingi kuliko uliyo mpa,uwezekano wa kuhisi unashida kweli ni mkubwa sana,....<br />
Atajitahidi kufanya chochote kile ili atleast apate ile uliyo mkopesha,...<br />
Ikitokea kwa bahati mbaya akakupa zaidi ya kiasi ulicho mkopesha,chukua then baada ya week au siku chache tu<br />
mrudishie change yake,...(chukua yako,mrudishie uliyo ongeza wakati unamdai)<br />
<br />
Angalizo:-<br />
Yawezekana ni kweli kabisa hana hela,labda na yeye ina muuma sana kutokukulipa hadi mda huu<br />
na hana courage ya kukuambia jinsi alivo saivi.Huwezi kua na uhakika kwamba alipata hela kweli<br />
<br />
Kwa mfano,kuna binti nilimkopesha pia,ila mimi ni tofauti sioni aibu kudai kama najua nimekukopesha<br />
na sijakupatia hivi hivi tu,....<br />
Ila ilipo fika mda hakunipa,nikamfata na akanambia ntakupa,...zilikua chenga chenga tu<br />
nikakasirika kweli.<br />
<br />
Then,baada ya mda alinipa robo robo hadi deni likaisha,....<br />
<br />
Nilicho kuja kugundua ndugu yangu najuta hata kwanini nilimdai ingawa nami pia nilikua na shida kweli,..<br />
home kwao hawako fresh in the first place,na pia alipangiwa alichaguliwa udom na udsm,akaja udsm <br />
ila hela yake ikawa located udom,toka hapo ni matatizo tupu ili apate hela zake,....<br />
<br />
And for a girl,...trust me yuko kwenye hali ngumu sana na majaribu mengi mno hapa mjini to make the story<br />
short,....<br />
<br />
Kama huna haraka na hiyo hela the last option,...mchunie tu,..ila kua naye karibu ujue historia yake <br />
yawezekana hana wa kumsaidia maskini.