Nashindwa kumdai

Nashindwa kumdai

aisee kuna vidume vi dhaifu kumbe????????

yaani pesa yako unaogopa kudai

yeye kama sistaduu wa kweli angekopa????

duh...

usikute vidume vya kweli vinamlamba huyo dada bureee kabisa
 
Nachukia kumkopesha mtu sana coz kudai huwa nashindwa kama wewe
pole sana na ndio umeshazimwa
 
nahisi nawewe unampenda ila ni "domo zeege".....pole sana
 
Kuna mmoja nilimkopesha laki wakati wa kulipa akanletea zawadi ya viatu nkamwambia kampe boyfriend wako ,nipe hela mm mangi bana!
 
Tumsifu yesu kristo wakuu!!kuna mdada mmoja 2nasoma wote chuo kimoja,kuna kipindi flani ilitokea akawa ameuwawa{kaishiwa pesa} akaja akantel nimkopeshe kiasi flan hvi kwa makubaliano kwamba aftr 2 wks ata2miwa na ndugu zake then angenirudshia,me nkamtoa kisela nkijua ni mwaminifu,cha kushangaza,ali2miwa pesa na ndugu zake,akawekewa na bumu bt me deni langu cjui ndo kalisahau au kaamua kunirusha?lakin cha kushangaza naogopa kumdai{ikumbukwe kwamba sio mpz wangu,ni m2 2 2metokea kufahamiana}nifanyeje wakuu,maana sa hz mwenyewe nimefulia kimtindo??
umenikumbusha mtu namdai. pole sana watu wengi sana hawapendi kulipa madeni, ni kitu kinanishangaza sana, unakuta mtu hela anayo lakini kulipa halipi hadi umsemee mbovu mbovu na hapo mahusiano yanakuwa na dosari tayari. ila mkumbushe tu huenda kasahau
 
nahisi nawewe unampenda ila ni "domo zeege".....pole sana
<br />
<br />
ningekua namtaka,ncngejisumbua kuja kuomba ushaur huku jf,ningemalzana nae cku nyingi 2.
 
Assume umempa msela,mshkaj wako..tatizo unamuogopa,ooh cjui ni sister duu,atanisemea mbya kwa rafk zake,yote ya nin.had hapa kama hana tatizo bac keshakufanyia hayo unayoogopa.huna shida na hiyo hela wew..
 
Milele amina,<br />
Mkuu inaonekana unamtaka huyo binti (siwezi eleza zaidi)<br />
<br />
Try this:-<br />
Mpigie simu,mwamibe una shida kubwa sana<br />
na ungependa kupata kiasi flani cha hela toka kwake (mtajie ulicho mkopesha au zaidi,ntafafanua)<br />
with confidence,usiwe kama unamdai we mwambie tu unashida na kiasi hiko cha pesa.<br />
<br />
Reaction:-<br />
1.Kama umemwomba kiasi kile kile ulicho mkopesha na hela anayo basi <br />
uwezekano wa kukupa kiasi chote ni mdogo sana kama alikua anakutaka wewe (vice versa ya statement ya pili)<br />
Anaweza akupe kidogo,au akupige chenga kabisa.<br />
<br />
2.Ukiomba nyingi kuliko uliyo mpa,uwezekano wa kuhisi unashida kweli ni mkubwa sana,....<br />
Atajitahidi kufanya chochote kile ili atleast apate ile uliyo mkopesha,...<br />
Ikitokea kwa bahati mbaya akakupa zaidi ya kiasi ulicho mkopesha,chukua then baada ya week au siku chache tu<br />
mrudishie change yake,...(chukua yako,mrudishie uliyo ongeza wakati unamdai)<br />
<br />
Angalizo:-<br />
Yawezekana ni kweli kabisa hana hela,labda na yeye ina muuma sana kutokukulipa hadi mda huu<br />
na hana courage ya kukuambia jinsi alivo saivi.Huwezi kua na uhakika kwamba alipata hela kweli<br />
<br />
Kwa mfano,kuna binti nilimkopesha pia,ila mimi ni tofauti sioni aibu kudai kama najua nimekukopesha<br />
na sijakupatia hivi hivi tu,....<br />
Ila ilipo fika mda hakunipa,nikamfata na akanambia ntakupa,...zilikua chenga chenga tu<br />
nikakasirika kweli.<br />
<br />
Then,baada ya mda alinipa robo robo hadi deni likaisha,....<br />
<br />
Nilicho kuja kugundua ndugu yangu najuta hata kwanini nilimdai ingawa nami pia nilikua na shida kweli,..<br />
home kwao hawako fresh in the first place,na pia alipangiwa alichaguliwa udom na udsm,akaja udsm <br />
ila hela yake ikawa located udom,toka hapo ni matatizo tupu ili apate hela zake,....<br />
<br />
And for a girl,...trust me yuko kwenye hali ngumu sana na majaribu mengi mno hapa mjini to make the story<br />
short,....<br />
<br />
Kama huna haraka na hiyo hela the last option,...mchunie tu,..ila kua naye karibu ujue historia yake <br />
yawezekana hana wa kumsaidia maskini.
<br />
<br />chukua ushauri huo wa spika.
 
Du mimi nilikuomba hela ukaninyima kumbe ulimpa yule dada! Aisee ndio nimejua leo, dont mind nakutania wala hatufahamiani. Lakini kitu cha msingi kwa maisha ya sasa usimwamini mtu yeyote katika fedha, kama hutaki kukorofeshana mtu ni vyema usimkopesha. Lakini kumbuka ukiwa mchoyo usiwe mroho yaani nina maana kama haukopeshi wenzio na wewe basi usiwakope. Kwa huyo dada wewe msamehe lakini utakuwa umeshamjua, lakini kuwa mwangalifu sana vijana wa siku hizi wanatamaa sana kwa wakati mmoja anataka awe na gari, nyumba, laptop, simu ndio maana hata walipwe vipi hawatosheki.
 
........kama vipi mwandikie barua,nadhani aibu zako zimezidi
 
Sheria ya kukopesha ni kopesha kiasi ambacho upo tayar kupoteza.
 
kama umeshaikosa vile
nb:
ukimkopesha mwanamke ni ngumu kukulipa unless aamue yeye mwenyewe kukulipa
assumptn:
marafiki, mmoja mwanaume na mwingine ni mwanamke
ushauri

  • fikiria njia nyingine ya kupata thamani ya hela yako/zako
  • wakati unataka mkopesha m2 fikiria uwezo wa kulipa, uaminifu, dhamana, matumizi nk.
  • usitafute umaarufu kwa kukopesha
  • amua kusaidia kwa roho nyeupe
 
Back
Top Bottom