kwenye ile sehemu plain ambayo haina maandishi yoyote pale ambako login ndo ilipaswa kuwepo, weka kidole chako Kama vile una login tu kawaida itakubalikama kichwa cha habar kinavyojieleza.
nilipoteza simu siku kadhaa zilizopita.sasa nmepata simu mpya lakini kila nikijaribu kulog in kupitia jf app nashindwa maana haileti option ya kuingia
Bado kuna shida. Nilijaribu maelekezo yako lakini hayajasaidiakwenye ile sehemu plain ambayo haina maandishi yoyote pale ambako login ndo ilipaswa kuwepo, weka kidole chako Kama vile una login tu kawaida itakubali
Hata Mimi nilikua mhanga wa hili tatizo. Nashukuru Maelezo yako yamenisaidia.kwenye ile sehemu plain ambayo haina maandishi yoyote pale ambako login ndo ilipaswa kuwepo, weka kidole chako Kama vile una login tu kawaida itakubali
Kwenye hio screen shot kutoka kwenye JF app, hicho kidole wakiweka wapi ili u-log in? Nauliza kwa sababu ile sehemu ilioandikwa LOG IN haibonyezeki. Iko inactivekwenye ile sehemu plain ambayo haina maandishi yoyote pale ambako login ndo ilipaswa kuwepo, weka kidole chako Kama vile una login tu kawaida itakubali
Imenisaidia na ndio maan na reply sasa hvFungua JF kupitia browser kwanza uki-log in watakuleta terms ambazo unatakiwa uzisome kama utakubaliana nazo basi accept tu baada ya hapo rudi kwenye JF App unateleza kama kawaida kuna mabadiliko wamefanya,pole sana.
Weka kwenye huo WEUPE mkubwa chini ya hizo dots za password(hapo chini ambapo hamna maandishi yoyote).Kwenye hio screen shot kutoka kwenye JF app, hicho kidole wakiweka wapi ili u-log in? Nauliza kwa sababu ile sehemu ilioandikwa LOG IN haibonyezeki. Iko inactive
kwenye ile sehemu plain ambayo haina maandishi yoyote pale ambako login ndo ilipaswa kuwepo, weka kidole chako Kama vile una login tu kawaida itakubali
True me pia,niliingia kupitia browserHata Mimi nilikua mhanga wa hili tatizo. Nashukuru Maelezo yako yamenisaidia.
Sent using Jamii Forums mobile app