Nashindwa kujua nichague yupi

Nashindwa kujua nichague yupi

Marco Polo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
13,214
Reaction score
20,988
Nina wapenzi wawili wote nawapenda sana.Huyu wa kwanza ana mkia si haba na ndo ugonjwa wangu kwa kweli pia huwa na enjoy sana nikiwa nae karibu wa pili ni mwembamba haswaa na ni wife material jinsi nnavyomuona na nataman sana aje kuwa mke wangu tatizo ni huo wembamba wake.

Je, naweza kumuoa tu alafu ikawezekana baadae kumtengenezea mkia (kwa misosi lakin sio dawa za kichina) au ndo niendelee na huyu wa kwanza?
 
Nina wapenz wawili wote nawapenda sana.... Huyu wa kwanza ana mkia si haba na ndo ugonjwa wangu kwa kweli pia huwa na enjoy sana nikiwa nae karibu... Wa pili ni mwembamba haswaa na ni wife material jinsi nnavyomuona na nataman sana aje kuwa mke wangu tatizo ni huo wembamba wake... Je naweza kumuoa tu alafu ikawezekana baadae kumtengenezea mkia (kwa misosi lakin sio dawa za kichina) au ndo niendelee na huyu wa kwanza?

Acha ujinga...chagua Lowassa
 
Afu ingekuwa misosi inatengeneza mikia basi kila MTU angekuwa nao maana kila MTU hula chakula, labda unielekeze misosi maalum ambayo MTU akila ana kuwa na mkia maana dunia pana huwezi yote kujua.
 
Afu ingekuwa misosi inatengeneza mikia basi kila MTU angekuwa nao maana kila MTU hula chakula, labda unielekeze misosi maalum ambayo MTU akila ana kuwa na mkia maana dunia pana huwezi yote kujua.

Nimekuelewa mkuu ila huyu msichana inaonekana kwao sio njema sana so nahisi akipata misosi anayohitaji pengine mwili utabadilika.. Au vp?
 
Kweli ccm ni janga la kitaifa, huwezi kutokua mwanachama wa ccm kutoa mawazo kama haya.

Huisha akili yako, chagua lowassa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom