Online ndio wapi. Sema platform unayotumia
Aliexpress
Mkuu nina viza nimelink na PayPalKama unanunua aliexpress tumia mpesa mastercard
Nafanyia kazi hiliSababu zinaweza kuwa kati ya hizi:-
1.Pesa hazitoshi kwenye account yako ukilinganisha na bei ya bidhaa
2.Benk zingine zimeweka kiwango cha mwisho cha manunuzi ,hivo inawezekana bidha yako inagharimu pesa nyingi kuliko kiwango kilichopangwa na benki u
Yako.
Sawa mkuuUna nunua kitu cha bei gani? Na salio lako lipo kiasi gani? Ongeza mpunga huo
Aliexpres hawatumii PayPal mkuu?Una nunua kitu cha bei gani? Na salio lako lipo kiasi gani? Ongeza mpunga huo
Hapana...wanatumia alipayAliexpres hawatumii PayPal mkuu?
Niliona nikashindwa kutumia ikabidi notumie card direct,waweza kunielekeza jinsi ya kutumiaHapana...wanatumia alipay
Asante mkuuMbona maelezo inaonekana hapo kwenye screenshot yako au Lugha kidogo inakuchacha ndugu? Angalia amount iliyopo kwenye account yako na kiasi unachotaka kulipa pia soma LIMITATIONS yawezekana wameweka kiasi cha mwisho unayoweza kuprocess kwa kila payment system.
Hyo card ndio inakutana na alipay automatic,Tumia mastercard ya voda haina shida nayo..sema kwa case yako hapo juu kama salio limepungua kidogo..ongeza hela kdgo kisha jarbu tenaNiliona nikashindwa kutumia ikabidi notumie card direct,waweza kunielekeza jinsi ya kutumia