General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,316
- 23,178
Wakuu nashindwa kuelewa utajiri wa Bill gates, Zuckerbarg, mmiliki wa google (android),.
Ukiwatizama matajiri hawa unakuta wamewashinda wamiliki wa makampuni makubwa hapa dunini ambayo bidhaa zao nyingi ni tangible na zinaonekana kwa wingi mtaani mfano Samsung, Toyota, Suzuki, Sony, Air bus, Boeing, wauzaji mafuta , total.
Makampuni haya ni dhahiri kabisa unaziona bidhaa zao mtaani tangu zamani lakini unashangaa eti anapitwa na mtu ambaye kadevelop window ambayo kuinstall kwenye komputa ni kama 20000 tu na baada ya huipo hulipii tenaa. Mfano facebook unakuta hata kwa mwezi hutumii hata MB 500 lakini unaambiwa jamaa ndiye tajiri kuliko mmiliki wa Air Bus. Ukiniambia suala la matangazo sidhani kama ni hoja kuu kwani nashangaa hata wamiliki blogs wanalipwa na google kwa yeye kuweka matangazo yakee.
Naombeni kujua vyanzo vya mapato ambayo Bill gates anauza na kupata ela ambayo inamzidi mmikili wa Sansung au Apple.company. Android OS ni bure lkn google eti anaela kushinda mmiliki wa HTC au LG, hapa nashindwa kuelewaa kabisaa.
Ukiwatizama matajiri hawa unakuta wamewashinda wamiliki wa makampuni makubwa hapa dunini ambayo bidhaa zao nyingi ni tangible na zinaonekana kwa wingi mtaani mfano Samsung, Toyota, Suzuki, Sony, Air bus, Boeing, wauzaji mafuta , total.
Makampuni haya ni dhahiri kabisa unaziona bidhaa zao mtaani tangu zamani lakini unashangaa eti anapitwa na mtu ambaye kadevelop window ambayo kuinstall kwenye komputa ni kama 20000 tu na baada ya huipo hulipii tenaa. Mfano facebook unakuta hata kwa mwezi hutumii hata MB 500 lakini unaambiwa jamaa ndiye tajiri kuliko mmiliki wa Air Bus. Ukiniambia suala la matangazo sidhani kama ni hoja kuu kwani nashangaa hata wamiliki blogs wanalipwa na google kwa yeye kuweka matangazo yakee.
Naombeni kujua vyanzo vya mapato ambayo Bill gates anauza na kupata ela ambayo inamzidi mmikili wa Sansung au Apple.company. Android OS ni bure lkn google eti anaela kushinda mmiliki wa HTC au LG, hapa nashindwa kuelewaa kabisaa.