Nashindwa ku move on


nimesoma ujumbe wako nimekikuta nalia tu bt namshukuru mungu kwan najua kaniandalia mtu sahihi..... ndo yule yule my ni mwaka na kitu sasa
 
Last edited by a moderator:
nimesoma ujumbe wako nimekikuta nalia tu bt namshukuru mungu kwan najua kaniandalia mtu sahihi..... ndo yule yule my ni mwaka na kitu sasa

Sincerely nilivyoona tu heading na ID yako, Nikasema Mungu ni nini hiki na huyu binti, muda wote huu. I was carried away, nimejikuta Naandika tu hayo yote. Trust me, I wish I could be of any help to you, ingawa sijui kama naweza kukusaidia kwa njia yoyote. Natamani siku nije nikusome ukifurahi na umeendelea na maisha yako. Wote humu tuna matatizo, but tungeendelea tu kukaa chini na kulia, sijui tungekuwa wapi. May God see you through this.

."Seeds of discouragement cannot take root in a Grateful Heart."

"Complain and Remain, .Praise ad you shall be raised".- Joel Osteen
 
nimesoma ujumbe wako nimekikuta nalia tu bt namshukuru mungu kwan najua kaniandalia mtu sahihi..... ndo yule yule my ni mwaka na kitu sasa

mi nakupa pole tu....

ila kumbuka hakuna mbaya au asiyependwa hapa duniani, kile ambacho mi nitaona ni kubaya yupo atakayekiona ni kizuri...
We mshukuru Mungu kwa hiyo hatua maana huwezi jua labda alikuwa anakuepusha na hatari fulani ambayo ingekukabili hapo baadaye...

stay strong
 


Fact@MuLemuLe
 
Last edited by a moderator:
"Nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu" akija kichwani mwako rudia haya maneno yatakupa nguvu na utaenda mbele pole sana dada
 
Tunaposema maisha magumu watu wengi hudhani ni katika kutafuta hela tu, ugumu katika mapenzi ndio ugumu hasa wa maisha.

Mapenzi yanaweza yakamfanya maskini ajione kama malkia, na malkia ajione maskini, rejea Princess Diana marriage. So the way you feel is exactly how a proper and sound human being should feel.

Ila ujue wewe sio wa kwanza, na wala hutakuwa wa mwisho. Kitu cha muhimu ni kuitambua dhamani yako, you are a special. Pamoja na mapungufu yako, hakuna mtu mwingine duniani kama wewe. Mtu akinikataa namsikitikia, cause I know what they are about to miss or lose.

Jithamini jiamini, know your worth, people will notice.
 
Mbona wanaume tunaachika hatuliii tunatafuta mwingine na wewe kaza moyo tafuta mwingine kuna ambae atafika kwako na ananasa kiukweli. galz wote walionipiga chini sasa hivi wananiangalia kwa nyuso za aibu na nadhani wanajuta sana
 
sio mbaya kwani alipokutongoza hakujua kama we ni mbaya au umekuwa mbaya baada ya kumkubali? toa hayo mawazo chenye mwanzo hakikosi mwisho

Una uhakika gani yeye ndo alitongozwa??... Pengine yeye ndo alimtongoza
 

Dah...umemaliza kbs,huyu dada atakuwa kwenye mapito haswa. Barikiwa mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Mbona wanaume tunaachika hatuliii tunatafuta mwingine na wewe kaza moyo tafuta mwingine kuna ambae atafika kwako na ananasa kiukweli. galz wote walionipiga chini sasa hivi wananiangalia kwa nyuso za aibu na nadhani wanajuta sana

I like ur ID
 
some times unajiuliza mtu unaempenda akikuacha ina maana unakuta ww ni mbaya? sana au inakuaje wpendwa aisee unaweza uone hauna thaman kabisa katika hii dunia da eee mungu nisaidie tu niweze kusahau

Tufungue ukurasa mpya lady in action
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…