Mr Penal Code
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 823
- 213
Wanajukwaa Habari za Jioni, Naombeni msaada wenu ili niweze kutumia WhatsApp Account yangu ambayo imefungiwa na WHATSAPP team kwa Sababu ya ku violate Terms za services zao. Nikiri tu nimekuwa natumia Application ambayo si rasmi kwa kumaanisha hizi Fm WhatsApp na GB WhatsApp, nimeambatanisha picha hapo chini pamoja na post hi ujumbe ninao upata kila nikitaka ku access account yangu ya whatspp. Ujumbe huu unasema .THIS ACCOUNT CANNOT USE WHATSAPP.
Natanguliza shukrani zangu.
Natanguliza shukrani zangu.