Nashida ya Kuzamia

Nashida ya Kuzamia

AHMARDZ

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2016
Posts
790
Reaction score
678
Habarini wana JF, mimi ni mhanga wa ajira kwa muda tuu ila nimetafakari na kuona halihalisi ya maisha yanavyozidi kuwa juu nimeona nitafute kazi nje ya nchi, nje ya Africa kazi yoyote ya halali hata kudeki vyoo, kwa anayejua au mwenye ndugu pls aniunganishe, asanteni mtakaoguswa. Maisha magumu jamani na mkee na watoto msaada jamani nikapambane hata mwenye connection ya Qatar,bahrain,Dubai hata canada.
 
"Maisha magumu jamani na mkee na watoto msaada jamani nikapambane hata mwenye connection ya Qatar,bahrain,Dubai hata canada."

Mkuu pole sana maana hayo maneno umeyaandika kwa hisia inaonekana. Binafsi naamini hakuna kinachoshindikana chini ya jua boss na hali kama hiyo yako ni suala la muda, uvumilivu na jitiada boss bila kusahau na mipango dhabiti.

Maisha hayapo fair mkuu, zaidi ya yote, ngoja wajuzi waje kama yeyote atakuwa na connection katika hayo maeneo aweze kukupa muongozo.

Binafsi naamini maisha popote, ukiwa na malengo na nia ya dhati kufikia hayo malengo, usiruhusu mazingira na hali yako kwasasa ku-determine uwezo wako boss.
 
"Maisha magumu jamani na mkee na watoto msaada jamani nikapambane hata mwenye connection ya Qatar,bahrain,Dubai hata canada."

Mkuu pole sana maana hayo maneno umeyaandika kwa hisia inaonekana. Binafsi naamini hakuna kinachoshindikana chini ya jua boss na hali kama hiyo yako ni suala la muda, uvumilivu na jitiada boss bila kusahau na mipango dhabiti.

Maisha hayapo fair mkuu, zaidi ya yote, ngoja wajuzi waje kama yeyote atakuwa na connection katika hayo maeneo aweze kukupa muongozo.

Binafsi naamini maisha popote, ukiwa na malengo na nia ya dhati kufikia hayo malengo, usiruhusu mazingira na hali yako kwasasa ku-determine uwezo wako boss.
Ni kweli popote ila nime kwama
 
Back
Top Bottom