Kiufupi ukiwa chuo soma kile anachokufundisha mwalimu, soma vitabu atakavyokuambia usome, hizo notes Environmental Health za Mzumbe, UDSM, SUA etc hazifanani kwa sababu kila chuo kina mtaala wake, na mwenye maamuzi ya mwisho ni mwalimu wa somo husika. Hakuna mtihani wa taifa, mitihani yote inasahihishwa na huyo huyo mwalimu kwa hiyo neo lake ndio sheria. Ndio mfumo wa bongo ulivyo !Kiaje ani sjakuelw bado kaka
Kiufupi ukiwa chuo soma kile anachokufundisha mwalimu, soma vitabu atakavyokuambia usome, hizo notes Environmental Health za Mzumbe, UDSM, SUA etc hazifanani kwa sababu kila chuo kina mtaala wake, na mwenye maamuzi ya mwisho ni mwalimu wa somo husika. Hakuna mtihani wa taifa, mitihani yote inasahihishwa na huyo huyo mwalimu kwa hiyo neo lake ndio sheria. Ndio mfumo wa bongo ulivyo !