Acha ulevi,mpaka kesi inamfikia mwanasheria,kuna mengi yametokea,wewe umeangalia mtiririko wa ushahidi? Kwa taarifa yako si kazi ya mwanasheria kupika ushahidi ila kazi yake ni kuisadia mahakama kufikia maamuzi ya haki, na wala sio kuilazimisha,na anayeamua kesi ni jaji sio mwanasheria. Kuna kesi ngapi tunazijua serikali inajenga shule eneo la mtu bila fidia ikienda mahakamani inashindwa? Hata hiyo ya samaki ni kesi za wanasiasa kulazimisha ziende mahakamani wakati mwingine bila kusikiliza ushauri wa wanasheria ili kufuta aibu. Kwa akili zenu serikali ikifungua kesi lazima ishinde? Ili nani ashindwe? Raia? Kama ni hivyo ni bora mahakama zisiwepo na iwe inashinda moja kwa moja. SERIKALI KUTOKANA NA MABAVU YAKE HUWA INAKUWA IMESHAHARIBU KILA KITU NA WAKILI WA SERIKALI HUWA AKIENDA MAHAKAMANI MARA NYINGI ANA MITIGATE TU,ANAPUNGUZA MAKALI YA MAAMUZI