Hawa wa kukariri vitabu wanatuchelewesha tu, kikubwa wanachokifanya ni kutuonyesha umaridadi wao wa kukariri vitabu tu basi. Leo anakuja na maneno yake aliyoyatoa kwa Marx, kesho anakuja nayo ya Mao, kesho kutwa ya Nyerere, mtondogoo ya Trump, maisha yanaenda hivyo tu bila utendaji, hakuna cha maana, miaka 60+ sasa ya uhuru.
Ni wakati wa watu wenye akili za kuzaliwa na misimamo sasa tusonge mbele, enough with bookish clever plans!
Ni wakati wa watu wenye akili za kuzaliwa na misimamo sasa tusonge mbele, enough with bookish clever plans!