Vigezo vinakidhi ?Usichojua Ni kwamba Moshi Kama mji siyo kwa ajili ya wachaga.Tatizo mentality za ukabila na chuki zimewajaa.Kwako wewe dodoma kwa ajili ya wagogo na warangi.
Mbona hampigi kelele Iringa,Lindi au Songea kuwa majiji kwa sababu wenyeji wanaachia ardhi yao kirahisi. Mchaga siyo mgogoe, mzaramo mpaka akuuzie ardhi kirahisi wanajua thamaniy ya kipande cha ardhi alicho nacho.
Na si kwamba moshi ardhi ya kununua haipo. Ipo bali hutafika Bei kwasabab wauzaji wanajua thamani yake.
Wanaowekeza ktk viwanda mbona hawakosi ardhi.Nyie mnaotaka viwanja vya kujenga room mbili na Bei hamfiki ndiyo mnapiga kelele humu.
MOSHI ITAKUWA JIJI KABLA MAGUFULI HAJAONDOKA MADARAKANI. HUU UTOPOLO WENU NA VICHUKI VYA KIKE HAVITAZUIA HILO.
Nani anataka kujenga huko Moshi. Kaeni na vihampa vyenu fursa ziko kibao nchi hii.Na moshi siyo apo send tu,kuna mashamba na viwanja vingi tu shabaha, MABOGINI, KAHE. Huko hamtaki nyie moshi Ni shan't, Soweto kcmc wakat huna hela. Walioko siriaz viwanja vipo vingi tu mjohoron, sango, kawawa, mbokomu kote uko vipo.
Tatizo wenye hivyo viwanja si wazaramo au wagogo, Ni watu wanaojua thamani ya kipande cha ardhi. Wanajua value of money.
Kelele za nn.Nani anataka kujenga huko Moshi. Kaeni na vihampa vyenu fursa ziko kibao nchi hii.
Miji inayokua kwa kasi sasa hiivi ni le ambayo sio michoyo kuuza ardhi kwa wageni yenye mchanganyiko wa makabila mbalimbai
Moshi mjini wanataka jiji lenye mashamba makubwa!!!! la ardhi isiyoendelezwa!!!
Ukabila utaua Moshi mji sababu wazee hawauzi maeneo yao wala nyumba zao zivunjwe wawekezaji wapya wafanye yao!!
matokeo vijana wa kichaga wengi wamejenga na kuwekeza sana mikoa mingine Moshi mjini wametelekezea wazee wabaki nao na ardhi yao ndio maana haukui wala kuwa na sura mpya ya maana.
Moshi mbeleni waweza shushwa hata hadhi kutoka manispaa na kuwa mji wakiendelea na hiyo tabia sababu mji ni kama hauna generational success plan ya kuufanya uende juu
Usichojua Ni kwamba ilikuwa moshi iwe jiji tangu enzi za JK lkn kuna mambo machache na yameshafanyiwa kazi.Unadhani kelele zenu zitazuia mchakato huo.Vigezo vinakidhi ?
Usichojua Ni kwamba ilikuwa moshi iwe jiji tangu enzi za JK lkn kuna mambo machache na yameshafanyiwa kazi.Unadhani kelele zenu zitazuia mchakato huo.
Moshi mji una vigezo vyote.
Unabishana bila kujitambua.Katika michango yangu nimeshataja 3.Hutaweza kujua coz hujui ,Ni ushabikiUnavijua vigezo vya manispaa kuwa jiji au unajisemea tu ?
Visipokidhi vitakidhishwa.Vigezo vinakidhi ?
Achana nae huyo chuki imemjaaMbona ndiyo mji pekee unaosubiria kupewa hadhi hiyo.Jikaze tu kifua kisipasuke kwa chuki. Eti majengo mengi ni dizaini ya zamani,kwahiyo mji hauwezi kuwa jiji kwa sababu hiyo.
Nb:
Kajiridhishe kwanza vigezo vinavyotumika kuipa manispaa /mji hadhi ya kuwa jiji, halafu urudi.
Usilinganishe Moshi na Dodoma. Dodoma ni makao makuu ya nchi.Unabishana bila kujitambua.Katika michango yangu nimeshataja 3.Hutaweza kujua coz hujui ,Ni ushabiki
Na km ni vigezo Dodoma isingestahili kuwa jiji. Nitajie hata kimoja ambacho Dodoma ilikidhi tofauti na ukubwa wa eneo.
MkuuNashauri Manispaa ya Moshi itangazwe kuwa jiji in 2022.
1) Mji upanuliwe kusini mwa barabara ya Moshi-Arusha, this is very important. Kamwe mji usipanuliwe Kaskazini mwa barabara ya Moshi-Arusha.
2) Sehemu ya kata za wilaya ya Hai na Moshi Vijijini, zinazopakana na Manispaa ya Moshi na zilizoko kusini mwa barabara ya Moshi-Arusha, zihamishiwe kwenye Manispaa ya Moshi.
3) Katika eneo litakalohamishwa, contribution ya Moshi vijijini iwe kubwa kuliko contribution ya Hai, kwasababu Wilaya ya Moshi Vijijini ni kubwa (kieneo) kuliko Wilaya ya Hai.
4) Mipango miji ya Manispaa isiwabague watu wa kipato cha chini.
5) Mipango miji ya Manispaa isiwabague wazawa wenyeji.
6) Mipango miji ya Manispaa iruhusu mashamba makubwa na viwanja vikubwa sana kuendelea kuwepo ndani ya Manispaa.
7) Mipango miji ya Manispaa isilazimishe majengo marefu ndani ya Manispaa.
8) Mipango miji ya Manispaa isifute hati za kimila ndani ya Manispaa.
9) Kuwe na maeneo ya viwanja vya low density. Ambayo yata mimic Oysterbay na Masaki.
10) Maeneo ya makaburi ya waafrika yazungushiwe ukuta mfupi (wa futi 2). Na kuwe na gaps pana kwenye pande mbali mbali zitakazoruhusu magari mapana na watu wengi kuingia na kutoka kwa rahisi sana.
11) Serikali kuu ipeleke fungu kubwa la pesa litakalo boresha miundombinu ya Jiji hilo la Moshi.
12) Eneo la Mji wa Himo lipanuliwe (kwa upande wa kusini mwa barabara ya Moshi-Arusha-Holili, unaopakana na barabara ya kwenda Dar es Salaam) na Miji wa Himo upewe hadhi ya Manispaa ya mji. Kanuni za mipango miji ya Himo zifanane na hizo hapo juu nilizoshauri kuhusu mipango miji ya Manispaa ya Moshi.
13) Kiwanja kidogo cha ndege cha Moshi mjini kihamishiwe Uchira (Kusini mwa Barabara ya Moshi-Arusha). Na kiwe na runway ya lami ya 3.3 kms.
14) Mipango miji mingine yeyote ya maeneo ya mkoa wa Kilimanjaro ifuate kanuni za mipango miji nilizoshauri hapo juu. E.g. Mipango miji ya makao makuu ya wilaya mbalimbali za Mkoa wa Kilimanjaro. Pia barabara za makao makuu ya wilaya zisile sana viwanja na mashamba ya watu.
NB: Mikoa mingine ya Tanzania (ambayo sio makao makuu ya nchi kama Dodoma na Dar es Salaam) inaweza kuiga kanuni hizi za mipango miji.
Asante sana.
Tatizo lako hujui maana ya ardhi ya kuweka rasilimali, Viwanda, recreation (Burudani) Hospital na vinginevyo.Na moshi siyo apo send tu,kuna mashamba na viwanja vingi tu shabaha, MABOGINI, KAHE. Huko hamtaki nyie moshi Ni shan't, Soweto kcmc wakat huna hela. Walioko siriaz viwanja vipo vingi tu mjohoron, sango, kawawa, mbokomu kote uko vipo.
Tatizo wenye hivyo viwanja si wazaramo au wagogo, Ni watu wanaojua thamani ya kipande cha ardhi. Wanajua value of money.
Jibu hapo Mkuu ni Ukubwa wa Eneo, Wakazi na wageni walijichukulia ardhi ovyo na wengine wakidai ni za Mababu wakapewa Sheria na wakaziachiaNa km ni vigezo Dodoma isingestahili kuwa jiji. Nitajie hata kimoja ambacho Dodoma ilikidhi tofauti na ukubwa wa eneo.
WAKULUNGWA ARDHI YA MOSHI NA KILIMANJARO HAIUZWI KWA WAKUJA!!!!!! Tuna taratibu zetu Na ardhi wala hatujaomba msaada.
Wanjiru labda ungetafuta Sheria za uanzishaji hii Miji na Majiji chwa kwanza ni ArdhiAchana nae huyo chuki imemjaa
Hilo ipi ambayo siijui vizuri mkuuHuijui vizuri ndio mana
Magufuli asikusikie ukizungumzia maendeleo ya Kilimanjaro.Nashauri Manispaa ya Moshi itangazwe kuwa jiji in 2022.
1) Mji upanuliwe kusini mwa barabara ya Moshi-Arusha, this is very important. Kamwe mji usipanuliwe Kaskazini mwa barabara ya Moshi-Arusha.
2) Sehemu ya kata za wilaya ya Hai na Moshi Vijijini, zinazopakana na Manispaa ya Moshi na zilizoko kusini mwa barabara ya Moshi-Arusha, zihamishiwe kwenye Manispaa ya Moshi.
3) Katika eneo litakalohamishwa, contribution ya Moshi vijijini iwe kubwa kuliko contribution ya Hai, kwasababu Wilaya ya Moshi Vijijini ni kubwa (kieneo) kuliko Wilaya ya Hai.
4) Mipango miji ya Manispaa isiwabague watu wa kipato cha chini.
5) Mipango miji ya Manispaa isiwabague wazawa wenyeji.
6) Mipango miji ya Manispaa iruhusu mashamba makubwa na viwanja vikubwa sana kuendelea kuwepo ndani ya Manispaa.
7) Mipango miji ya Manispaa isilazimishe majengo marefu ndani ya Manispaa.
8) Mipango miji ya Manispaa isifute hati za kimila ndani ya Manispaa.
9) Kuwe na maeneo ya viwanja vya low density. Ambayo yata mimic Oysterbay na Masaki.
10) Maeneo ya makaburi ya waafrika yazungushiwe ukuta mfupi (wa futi 2). Na kuwe na gaps pana kwenye pande mbali mbali zitakazoruhusu magari mapana na watu wengi kuingia na kutoka kwa rahisi sana.
11) Serikali kuu ipeleke fungu kubwa la pesa litakalo boresha miundombinu ya Jiji hilo la Moshi.
12) Eneo la Mji wa Himo lipanuliwe (kwa upande wa kusini mwa barabara ya Moshi-Arusha-Holili, unaopakana na barabara ya kwenda Dar es Salaam) na Miji wa Himo upewe hadhi ya Manispaa ya mji. Kanuni za mipango miji ya Himo zifanane na hizo hapo juu nilizoshauri kuhusu mipango miji ya Manispaa ya Moshi.
13) Kiwanja kidogo cha ndege cha Moshi mjini kihamishiwe Uchira (Kusini mwa Barabara ya Moshi-Arusha). Na kiwe na runway ya lami ya 3.3 kms.
14) Mipango miji mingine yeyote ya maeneo ya mkoa wa Kilimanjaro ifuate kanuni za mipango miji nilizoshauri hapo juu. E.g. Mipango miji ya makao makuu ya wilaya mbalimbali za Mkoa wa Kilimanjaro. Pia barabara za makao makuu ya wilaya zisile sana viwanja na mashamba ya watu.
NB: Mikoa mingine ya Tanzania (ambayo sio makao makuu ya nchi kama Dodoma na Dar es Salaam) inaweza kuiga kanuni hizi za mipango miji.
Asante sana.
Himo kuwa manispaaHilo ipi ambayo siijui vizuri mkuu