nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,021
- 2,883
Vigezo vinakidhi ?Usichojua Ni kwamba Moshi Kama mji siyo kwa ajili ya wachaga.Tatizo mentality za ukabila na chuki zimewajaa.Kwako wewe dodoma kwa ajili ya wagogo na warangi.
Mbona hampigi kelele Iringa,Lindi au Songea kuwa majiji kwa sababu wenyeji wanaachia ardhi yao kirahisi. Mchaga siyo mgogoe, mzaramo mpaka akuuzie ardhi kirahisi wanajua thamaniy ya kipande cha ardhi alicho nacho.
Na si kwamba moshi ardhi ya kununua haipo. Ipo bali hutafika Bei kwasabab wauzaji wanajua thamani yake.
Wanaowekeza ktk viwanda mbona hawakosi ardhi.Nyie mnaotaka viwanja vya kujenga room mbili na Bei hamfiki ndiyo mnapiga kelele humu.
MOSHI ITAKUWA JIJI KABLA MAGUFULI HAJAONDOKA MADARAKANI. HUU UTOPOLO WENU NA VICHUKI VYA KIKE HAVITAZUIA HILO.