Nashangaa wabongo wanaowashobokea wayahudi

Nashangaa wabongo wanaowashobokea wayahudi

Status
Not open for further replies.
kumbe mnaweza kutomwamini yesu na mkabaki ni taifa teule la Mungu! this is rubbish
 
Hakika hujui chochote kuhusu judaism, pole sana, the jews dont believe kuwa yesu ni true mesiah, hawaamini kuwa ni mwana wa Mungu either, hawaamini utatu wala hawatumii bible unayoijua wewe. Tafuta njia ya kweli usibebwe na mihemko, njoo Europe ushuhudie hali ya ukristo huku, mzigo wa ukristo mmeachiwa kusini mwa jangwa la sahara
hahaaaaaaa, nashukuru sana mkuu, wazungu dini hawana time nazo siku hizi, ila hawa wenzangu na mimi, ni kusaliiiiiiiiiii tu, badala ya kubuni mbinu za kujikwamua, wanamsubiria Mungu aje awatatulie shida zao
 
Atakaye ilani Israel nae atalaaniwa! Hii kauli ndo umechanganya sana wakrsto hasa walokole
 
wayahudi wamewalemaza sana nyie, wanawafanya kama watumwa wao, they never believed to any prophet, wao dini yao ya kiyahudi ni yao tu, wanawaaminisha eri wap ni taifa teule! Hakika Mungu ametakasika na Upendeleo, kwa Mungu sisi wote ni sawa, thamani yetu itatokana na matendo yetu wala sio utaifa wetu
Na wewe mwarabu kakufanya nini?.
 
Eti atae inenea mabaya Israel nae yatamkuta makubwa
Israel siyo Eneo bali ni mtu na uzao wake, nimataifa 12 amboyo yanatokana na uzao wa MTU mmoja lakini Eneo ni Kanaani lenye watoto wa Yakobo na Essau + wageni lakini kwa sababu ya Genesis 27:29 hata wewe unakili kwamba Israel(Yakobo) ni taifa kubwa.
 
kumbe mnaweza kutomwamini yesu na mkabaki ni taifa teule la Mungu! this is rubbish
Waisrael walikuwa Taifa teule kabla Yesu hajazaliwa so Yesu habadili Uteule wa Israel bali kuniunganisha Mimi wa taifa lingine na Israel. Unadhani kwanini Marekani na Uingereza wamekuwa nyuma ya Israel?
 
Isaraeli
- Taifa la kwanza kuhalalisha ushoga, hata kabla ya nchi kama USA hawajahalalisha Isareli yeye alikuwa tiyari, kwenye Jeshi ndo wa kwanza kuhalalisha ushoga jeshini.

- Israeli Taifa ambali ndo namba moja katika mataifa yaliyo kuwa ynasapoti Makaburu kule South. Israeli alikuwa ndo mtoa misaada na siraha namba moja kwa makaburu.
- Israeli alisaidia makaburu kuunda siraha za Nuclear ili kupambana na waafrica.

- Israeli Viongozi wao hawakuhudhuria, hawakutoa pole, hawakutuma mwakilishi kwenye msiba wa Mandela. Mnajua ni kwa nini?

ISHU KWAMBA ISRAELI WANA AKILI SIO KWELI.

-Mataifa mengi sana wamejairiwa akili, Wajapani wamegundua vitu vingi sana
- Warusi ni moja ya matafia yenye IQ ya juu sana
- Ulaya wamevumbua vitu sana
- USA wakina Thmnoas Edson wakina Michel Del
Halafu ni huku Bongo tu ndo tunashabikia Israeli kwamba ni taifa teule hebu nenda kwa wazungua au waulize wazungu wakristo kama kule kwao kuna huu ujinga, na wazungu ndo walileta Dini Africa
 
Wal
Atakaye ilani Israel nae atalaaniwa! Hii kauli ndo umechanganya sana wakrsto hasa walokole
Walokole wameshikiwa sana akili, na hii ni mbaya sana, But waolokole wa Kizungu huwezi wasikia wanashabikia Israeli, huku Arusha kuna Redio moja ya dini huwa nasikia eti kuna Sadaka ya Isaraeli yaani Sadaka kwa ajili ya taifa la Isaraeli, yaani ni ujinga wa kiwango cha juu kabisa,
 
Bora kubaguliwa na hao wayahudi kuliko muafrika mwenzako kukubagua
 
Mungu sio kigeukigeu na alisema

"Alaaniwe akulaaniye, abarikiwe anaekibariki".

Sasa tuanzie hapo. Yahudi atabaki kuwa yahudi awe mbaguzi au sio m-baguzi. Suala la waTanzania kujitambua na kuheshimu utaifa wao liko pale pale lakini pia Israel iwe inautambua ukristo au la itabaki kuwa Israel ya wayahudi.
Wacha kukrem ujinga we we!!!Mungu hakumaanisha Israel ujuayo we we.,hata we we unaweza kuwa wa Taifa teule
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom