Nash mc afanikiwa kufanya ziara Ujerumani, Hip Hop Inalipa!!!!!

Huyu jamaa mi napishana nae sehemu moja tu yeye anaujuaji sana anajifanyaga Hip hop anajua yeye tu na Bongo zima yeye ndo anajionaga ananguzo zote za HIP HOP. akijirekebisha hapo atakua poa sana
 
Huyu jamaa mi napishana nae sehemu moja tu yeye anaujuaji sana anajifanyaga Hip hop anajua yeye tu na Bongo zima yeye ndo anajionaga ananguzo zote za HIP HOP. akijirekebisha hapo atakua poa sana
Hahaa hiphop yenyewe hajui kitu chochote
 
Huyu jamaa mi napishana nae sehemu moja tu yeye anaujuaji sana anajifanyaga Hip hop anajua yeye tu na Bongo zima yeye ndo anajionaga ananguzo zote za HIP HOP. akijirekebisha hapo atakua poa sana
Yap, hilo ndio tatizo lake kubwa, yaani kilakitu anajua yeye. Ndio maana watu kama Fid Q walimkataa mapema sana
 
Yap, hilo ndio tatizo lake kubwa, yaani kilakitu anajua yeye. Ndio maana watu kama Fid Q walimkataa mapema sana
Fid q na nash ni paka na panya fid q ni mkubwa kwa nash kuanzia akili sanaa na kila kitu
 
Jamaa namfahamu fika na kazi zake hadi anapo ishi kwa shangazi yake huko temeke Mbagala, juzi kati alikuwa Uganda kwenye mkutano wa nini alikutana na wasanii wa kenya, uganda na rwanda
kwao mtaa yombo ukifika kwa sokota unaingia na ile barabara........maarufu sana huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom