darthvader
Member
- Mar 17, 2018
- 77
- 64
Hii ni mwaka janaView attachment 751119View attachment 751121View attachment 751123View attachment 751125View attachment 751128
Kutoka temeke mpaka Ujerumani!!! Aaaaa !!!! HIPHOP Inalipa!!!!!
Hii ni mwaka janaView attachment 751119View attachment 751121View attachment 751123View attachment 751125View attachment 751128
Kutoka temeke mpaka Ujerumani!!! Aaaaa !!!! HIPHOP Inalipa!!!!!
Hahaa hiphop yenyewe hajui kitu chochoteHuyu jamaa mi napishana nae sehemu moja tu yeye anaujuaji sana anajifanyaga Hip hop anajua yeye tu na Bongo zima yeye ndo anajionaga ananguzo zote za HIP HOP. akijirekebisha hapo atakua poa sana
leo nmeconfirm ww sio duke tunaemjuaHahaa!!!! Tatizo lake ujuaji mwingi mbaya zaid hajui chochote kuhusu Hip Hop ila ndo anajifanya yeye ndiye mwalimu wa Hip Hop
Sijajua kwanini anatumia jina lake, not good kabisaleo nmeconfirm ww sio duke tunaemjua
Yap, hilo ndio tatizo lake kubwa, yaani kilakitu anajua yeye. Ndio maana watu kama Fid Q walimkataa mapema sanaHuyu jamaa mi napishana nae sehemu moja tu yeye anaujuaji sana anajifanyaga Hip hop anajua yeye tu na Bongo zima yeye ndo anajionaga ananguzo zote za HIP HOP. akijirekebisha hapo atakua poa sana
Wabongo mnawaza Shoo tu, huo ni mualiko ktk chuo kikuuKatumbuiza watu watatu kwenye birthday halafu kalazimisha kupiga nao picha.. ama kweli ushamba mzigo
Hahaa nash mwana fasihiWabongo mnawaza Shoo tu, huo ni mualiko ktk chuo kikuu
Fid q na nash ni paka na panya fid q ni mkubwa kwa nash kuanzia akili sanaa na kila kituYap, hilo ndio tatizo lake kubwa, yaani kilakitu anajua yeye. Ndio maana watu kama Fid Q walimkataa mapema sana
Namfahamu mama ni profesa Valerie Bromosomghun mbobezi wa lughaBibi Noma huyo
BNi msanii pekee nchini mwenye V.V.Uhuyo mzaramo " yupo""?...daahhh ukikaa na huyo Jamaa usipocheka basi hutokuja kucheka tena aiseee""
Nash mc "" mc pekee kutoka THT""
GudNash mc, anasema yeye ni MC pekee mwenye VVU.
kwao mtaa yombo ukifika kwa sokota unaingia na ile barabara........maarufu sana hukoJamaa namfahamu fika na kazi zake hadi anapo ishi kwa shangazi yake huko temeke Mbagala, juzi kati alikuwa Uganda kwenye mkutano wa nini alikutana na wasanii wa kenya, uganda na rwanda
Anapokaa unapajuakwao mtaa yombo ukifika kwa sokota unaingia na ile barabara........maarufu sana huko