Anaishi kwa shangazi yake????Jamaa namfahamu fika na kazi zake hadi anapo ishi kwa shangazi yake huko temeke Mbagala, juzi kati alikuwa Uganda kwenye mkutano wa nini alikutana na wasanii wa kenya, uganda na rwanda
Ilikuwa lini hiyoUyu jamaa yuko social sana nliwahi kutana nae Arusha nyama choma festival kwa ufupi hana makuu wala si mwongea ovyo.
Mwaka juzi mkuu alafu sikuwa namjua kama ni msanii badae ndio nikagunduaIlikuwa lini hiyo
Hahaa!!!! Tatizo lake ujuaji mwingi mbaya zaid hajui chochote kuhusu Hip Hop ila ndo anajifanya yeye ndiye mwalimu wa Hip HopTatizo la Nash mc anajifanyaga anajua sana hip hope kumbe mziki ushamshinda maana kila siku anakaaga kulalamika...kuwa apewi air time radion ndo wakati yeye atoi ngoma.
Then Wewe mtoa mada kuhusu Nash Mc kwenda ujerumani ..anaendaga sana maana Nash mc yuko kweny NGO flani yakukuza kiswahili kwa nchi za kigeni inaitwa Vinasa Sauti...nadhani anaweza kwenda German hata Mara 6 kwa mwaka
Nash mc, anasema yeye ni MC pekee mwenye VVU.huyo mzaramo " yupo""?...daahhh ukikaa na huyo Jamaa usipocheka basi hutokuja kucheka tena aiseee""
Nash mc "" mc pekee kutoka THT""
daahh hata sijui mkuu"" hao watu nilishapotezana nao"" aiiseeeDuu!!!! Tattoo records kitambo Sana, hivi palla bado yupo????? Na yule Dogo Abby yupo?? Sijaibukaga Tattoo tangu 2012 sijui
naaam ana ngoma inaitwa hivyo pia....then ana ngoma ambayo amechana then kwenye verse anasema kuwa yeye ndiye mc pekee kutuka THTNash mc, anasema yeye ni MC pekee mwenye VVU.
Anakaa chamazi siku hzi.Jamaa namfahamu fika na kazi zake hadi anapo ishi kwa shangazi yake huko temeke Mbagala, juzi kati alikuwa Uganda kwenye mkutano wa nini alikutana na wasanii wa kenya, uganda na rwanda
Hahahaaaaa, huyu jama noma sana, eti Tanzania Hiphop Tunauz (THT), hahahaaa.naaam ana ngoma inaitwa hivyo pia....then ana ngoma ambayo amechana then kwenye verse anasema kuwa yeye ndiye mc pekee kutuka THT
(Tanzania hiphop tunauza..)
hahaaa"" kwahiyo mwanzo ulidhani "" nimezusha"" bahati nzuri wakati anaingiza vocal "" ktik hixo ngoma zote nilikuwapo"" in short mpka wakati anaandaa album ya mzimu wa shaban Robert nilikuwepo pia""Hahahaaaaa, huyu jama noma sana, eti Tanzania Hiphop Tunauz (THT), hahahaaa.
Inaonekana wewe ni mtu wake wa karibu, hongera mkuu.hahaaa"" kwahiyo mwanzo ulidhani "" nimezusha"" bahati nzuri wakati anaingiza vocal "" ktik hixo ngoma zote nilikuwapo"" in short mpka wakati anaandaa album ya mzimu wa shaban Robert nilikuwepo pia""
aaaghh hongera ya nini sasa"" mbona hao niwatu wa kawaida tu "" na maisha yao ya kawaida "" sipo nae karibu kihivyo"" but miaka ya nyuma ndio tulikuwaga tunakutana Mara kwa Mara studio za tattoo ""Inaonekana wewe ni mtu wake wa karibu, hongera mkuu.
Nash MCee, Maalim Nash, MC Zuzu sasa ana ngoma inaitwa WananguHao wazungu ni sawa na wakina Mrisho Mpoto wa Tanzania.... Jamaa kafurahia kama zuzu
Joh makini bishoo yule ana pigo za kike za kujipodoaJoh makini the real mc
Labda sijui Naomba nielewesheUnajua Ziara kweli?