Nash mc afanikiwa kufanya ziara Ujerumani, Hip Hop Inalipa!!!!!

Duke Tachez

JF-Expert Member
Mar 28, 2018
5,441
4,093
FB_IMG_1524221355834.jpg
FB_IMG_1524221399083.jpg
FB_IMG_1524221340832.jpg
FB_IMG_1524221321570.jpg
FB_IMG_1524221314538.jpg


Kutoka temeke mpaka Ujerumani!!! Aaaaa !!!! HIPHOP Inalipa!!!!!
 
Hivi ni mhaya au mzaramo?
nijuavyo nimzaramo"" labda iwe anapande mbili" toka kwa baba na mama"" nilikuwa nakutana nae sana M.lab wakati ule ilivyokuwa bado ipo pale kinondoni Biafra....na studio za tattoo m'nyamala kabla hazijaa hamia masaki...hapo ndipo nilipowezaga kuyajua hayo machache yanayo muhusu
 
nijuavyo nimzaramo"" labda iwe anapande mbili" toka kwa baba na mama"" nilikuwa nakutana nae sana M.lab wakati ule ilivyokuwa bado ipo pale kinondoni Biafra....na studio za tattoo m'nyamala kabla hazijaa hamia masaki...hapo ndipo nilipowezaga kuyajua hayo machache yanayo muhusu
Duu!!!! Tattoo records kitambo Sana, hivi palla bado yupo????? Na yule Dogo Abby yupo?? Sijaibukaga Tattoo tangu 2012 sijui
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom