RASCO BOY
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 428
- 485
Vipimo hivi havipimi virusi hata mmoja wa HIV-VVU na haitakuja kutokea hata siku moja kipimo hiki kikaacha kupima kinga za mwili na kikawa cha VVU hila hilo halipo kamwe na haitakuja kutokea, daima Elimu duni watu wanaamini kuwa kipimo hiki ni cha UKIMWI sio kweli hata watu wanadanganywa hadi Leo.