Kinapima ukimwi hakipim vvu???Hiki hakipimi VVU
Kinapima UKIMWI kwa kuangalia kemikali (Antigen) mwili uliotengeneza / uliotoa ili kukabiliana virusi vinavyosababisha ukimwi.
Sasa wewe mtaalamu tuambie ni kwanini tuache kuamini tulichosoma toka kwa researchers kibao tukuckilize wewe
ulicho comment??Kinapima ukimwi hakipim vvu???
Umeelewaaulicho comment??
Aisee VVU ndio UKIMWI sasa maelezo yako ayasomeki mkuuHiki hakipimi VVU
Kinapima UKIMWI kwa kuangalia kemikali (Antigen) mwili uliotengeneza / uliotoa ili kukabiliana virusi vinavyosababisha ukimwi.
Sasa wewe mtaalamu tuambie ni kwanini tuache kuamini tulichosoma toka kwa researchers kibao tukuckilize wewe
UKIMWI - syndrome / condition / damageAisee VVU ndio UKIMWI sasa maelezo yako ayasomeki mkuu
Pumbafu!!Vinapima kinga ya mwili kwa maana ya kwamba kama kinga zako za mwili zimeshuka itasoma Postive
Akikujibu nitagUnatushaurije sasa
no sex before marriageUnatushaurije sasa
Umechanganya kidogo mkuu! Hiki ni kipimo cha VVU (HIV) kinachojikita kuangalia kama wale walinzi wanaopambana na HIV (Antigens) tayari wametengenezwa mwilini, hivyo kumaanisha kwamba mwili unaopimwa tayari umeshaingiliwa na virusi hivyo. Kipimo kinachopima UKIMWI (Ukosefu wa Kinga Mwilini) huwa kinaangazia kiasi /idadi ya CD4 (CD4 Count) ambazo ndio seli zinazotumika kuzalisha walinzi wa mwili (ulinzi wa jumla) na ndio hizo hizo ambazo huangamizwa na HIV (VVU) na kupelekea mwili kukosa kinga na hivyo kuwa dhaifu kiasi cha kushambuliwa na magonjwa nyemelezi (haya ndio hupelekea kifo kwa mwenye UKIMWI).Hiki hakipimi VVU
Kinapima UKIMWI kwa kuangalia kemikali (Antigen) mwili uliotengeneza / uliotoa ili kukabiliana virusi vinavyosababisha ukimwi.
Sasa wewe mtaalamu tuambie ni kwanini tuache kuamini tulichosoma toka kwa researchers kibao tukuckilize wewe
Halafu ndo inahusianaje na hicho kipimo?no sex before marriage
Inaonekana umeanzisha hii mada ili upate uelewa, haya, soma comment yangu iliyopita, kama una swali ulizaVinapima kinga ya mwili kwa maana ya kwamba kama kinga zako za mwili zimeshuka itasoma Postive
Yani hapa tu umeonyesha haujui kitu.Sasa tofauti hapo ni nini...!?Vichwa vingine bwanaNaelewa vzr sana tofauti ya HIV na VVU pia tambua kuna aina nyingi za ukimwi
Sasa mtu akiwa infected na HIV for 2 weeks or 3month ana develop AIDs ??UKIMWI - syndrome / condition / damage
VVU - micro organism
See the difference?