Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,610
- 59,581
Mwambie anipe Chini aache kusingizia period isiyoisha kikomo period gani inaenda mpaka Mwezi?😅😅 usaliti unauma ila sio kwa kiwango cha zuri 😅😅 wengine mioyo ishapata ganzi, halafu hizo posa atalipia wangapi?
nachoona apambane na mumewe ameishi nae anamjua kuliko mchepuko bahati nyingine aliyonayo bwana bado anamfeel hapo kwenye kumuomba tamu ni wazi huyo dogo hajamteka kiivyo,