AMARIDONG
JF-Expert Member
- Jun 24, 2010
- 2,502
- 180
Joshua Nassari ameonyesha nia ya dhati ya kujitosa tena kwenye sakata la ubunge Arumeru Mashariki,akiongea kutoka Washington amesema yuko US lakini anafanya kazi kubwa jimboni kwake na amesikitishwa na msiba wa mzee Jeremia
Ila nia yake ni kulinyakua jimbo na kuwapa watanzania maisha mema na ya matumaini.
Rafiki yake wakaribu Godbless Lema amesema ni mapema sana kulizungumzia hilo kwani Chama ndio chenye maamuzi
JE CDM WATAMPA TENA NASSARI??maana nasikia CDM wanampango wa kumteua Daktari Wilibroad Petter Slaa agombee ubunge Arumeru Mashariki
Ila nia yake ni kulinyakua jimbo na kuwapa watanzania maisha mema na ya matumaini.
Rafiki yake wakaribu Godbless Lema amesema ni mapema sana kulizungumzia hilo kwani Chama ndio chenye maamuzi
JE CDM WATAMPA TENA NASSARI??maana nasikia CDM wanampango wa kumteua Daktari Wilibroad Petter Slaa agombee ubunge Arumeru Mashariki