Joshua Nassari ameonyesha nia ya dhati ya kujitosa tena kwenye sakata la ubunge Arumeru Mashariki,akiongea kutoka Washington amesema yuko US lakini anafanya kazi kubwa jimboni kwake na amesikitishwa na msiba wa mzee Jeremia
Ila nia yake ni kulinyakua jimbo na kuwapa watanzania maisha mema na ya matumaini.
Rafiki yake wakaribu Godbless Lema amesema ni mapema sana kulizungumzia hilo kwani Chama ndio chenye maamuzi
JE CDM WATAMPA TENA NASSARI??maana nasikia CDM wanampango wa kumteua Daktari Wilibroad Petter Slaa agombee ubunge Arumeru Mashariki
Mkuu Rejao tulia safari hii hamchomoi , kuhonga maagenti hakuna, kuchelewesha muda wa kutangaza hakuna unajua jinsi Wameru walivyo fyatu, hesabu za kijizi hakuna!!!!!!!!!! Mnajua kabisa ushindi wenu ulikuwa wa kuchakachua kama asemavyo mkulu wa kaya, nawasikitikia mmekwisha Arumeru!!!!Huyo dogo wenu kama 2010 alishindwa kwa kura nyingi kiasi kile..unategemea nini tena kwa sasa? Mtafuteni mtu mwingine angalau competition iwe kubwa!
Huyo dogo wenu kama 2010 alishindwa kwa kura nyingi kiasi kile..unategemea nini tena kwa sasa? Mtafuteni mtu mwingine angalau competition iwe kubwa!
Mkuu Rejao tulia safari hii hamchomoi , kuhonga maagenti hakuna, kuchelewesha muda wa kutangaza hakuna unajua jinsi Wameru walivyo fyatu, hesabu za kijizi hakuna!!!!!!!!!! Mnajua kabisa ushindi wenu ulikuwa wa kuchakachua kama asemavyo mkulu wa kaya, nawasikitikia mmekwisha Arumeru!!!!
CDM msiwe na uchu wa madaraka, subirini kwanza Tume ya uchaguzi ifanye kazi yake. Sitegemei pia kumwona Slaa anachia posho ya 7m plus 600k per diem za maandamano kwa ajili ya kwenda kugombea ubunge wa Arumeru!
Kwanza tutake radhi...sisi sio tuliyoileta hii thread.Hii thread itatakiwa kuondolewa. Heading inaonesha ni tamko la cdm, content ni story ya mtu!
Mods tuondoleeni huu ujinga unaowekwa humu jukwaani na akina Rejao na MS ili kutafuta namna ya kuwakashifu cdm! Upuuzi mtupu!
Kuna thread za maana zikitumwa hamziweki jukwaani lakini nashangaa thread kama hizi, hazina source, sio tetesi mnaziweka humu wakati kuna jukwaa la udaku!?
cdm msiwe na uchu wa madaraka, subirini kwanza tume ya uchaguzi ifanye kazi yake. Sitegemei pia kumwona slaa anachia posho ya 7m plus 600k per diem za maandamano kwa ajili ya kwenda kugombea ubunge wa arumeru!
Hata Igunga mlisema hivi hivi.Mkuu Rejao tulia safari hii hamchomoi , kuhonga maagenti hakuna, kuchelewesha muda wa kutangaza hakuna unajua jinsi Wameru walivyo fyatu, hesabu za kijizi hakuna!!!!!!!!!! Mnajua kabisa ushindi wenu ulikuwa wa kuchakachua kama asemavyo mkulu wa kaya, nawasikitikia mmekwisha Arumeru!!!!
Huyo kijana wa watu mngemshauri tu aendelee na ayafanyayo huko Washington as he knows better than anybody else chaguzi pamoja na Campaign za Arumeru Mashariki hazifanyiki via JF hufanywa chini ya Mringaringa haijalishi kuna wasomi kiasi gani Meru msimamo wao hauwezi kubadilishwa na mtu awaye yeyote ndo maana alipata hizo asilimia alizozipata pamoja na kuwa Marehemu hakufanya Campaign.
Ukianzia Songoro shuka Mulala mpaka Akheri, Tengeru, Nkoaranga, Makumira, Poli, Nkoanekoli, Jua Kali, Momela, Usa River, Maji ya Chai, Katiti, King'ori, Leguruki, Ngarenanyuki etc wale wazee ni hatari sana.... Sasa sisi vijana tukijifanya kumshawishi Nassari aende eti tu kwa sababu CDM kinakubalika bado tunakosea we unakaa Washington expecting kugombea Arumeru Mashariki labda aseme alijitahidi vipi kuweka uhusiano mzuri kati yake ama na Wazee au wahusika wa jimbo hilo................. Vinginevyo CDM watazame mtu mwingine mbadala sisi ndio tutakao waambia lile Jimbo ni gumu mno tofauti na watu mnavyozungumzia. Na tatizo jingine la Nassari ni waluwalu hana subiri unaongea mpaka anapitiliza he ought to be gentle, and wise.
Under no circumstances should CDM try kumpatia hiyo nafasi Joshua........... Ni hayo tu
Nadhani Chadema huwa wanamsikia tu Lowassa! sasa subirini akawanyooshe vizuri huko ndio mtashika adabu.:A S embarassed:
Hata Igunga mlisema hivi hivi.
Hii ndio hasara ya CDM...huwa hamkubali kushindwa!so mlvosikia ndo mkachakachua?.
Hii ndio hasara ya CDM...huwa hamkubali kushindwa!
Kumbuka CDM wote walihamishia kambi yao Igunga...sielewi huo uchakachuzi ulifanyika vipi.
BTW, huwa mnasusaa halafu baadaye mnajipeleka Ikulu kucheka cheka!!
Hii ndio hasara ya CDM...huwa hamkubali kushindwa!
Kumbuka CDM wote walihamishia kambi yao Igunga...sielewi huo uchakachuzi ulifanyika vipi.
BTW, huwa mnasusaa halafu baadaye mnajipeleka Ikulu kucheka cheka!!
mwache dada wa watu apumzike kwa amani.sema jingine
Huyo kijana wa watu mngemshauri tu aendelee na ayafanyayo huko Washington as he knows better than anybody else chaguzi pamoja na Campaign za Arumeru Mashariki hazifanyiki via JF hufanywa chini ya Mringaringa haijalishi kuna wasomi kiasi gani Meru msimamo wao hauwezi kubadilishwa na mtu awaye yeyote ndo maana alipata hizo asilimia alizozipata pamoja na kuwa Marehemu hakufanya Campaign. Ukianzia Songoro shuka Mulala mpaka Akheri, Tengeru, Nkoaranga, Makumira, Poli, Nkoanekoli, Jua Kali, Momela, Usa River, Maji ya Chai, Katiti, King'ori, Leguruki, Ngarenanyuki etc wale wazee ni hatari sana.... Sasa sisi vijana tukijifanya kumshawishi Nassari aende eti tu kwa sababu CDM kinakubalika bado tunakosea we unakaa Washington expecting kugombea Arumeru Mashariki labda aseme alijitahidi vipi kuweka uhusiano mzuri kati yake ama na Wazee au wahusika wa jimbo hilo................. Vinginevyo CDM watazame mtu mwingine mbadala sisi ndio tutakao waambia lile Jimbo ni gumu mno tofauti na watu mnavyozungumzia. Na tatizo jingine la Nassari ni waluwalu hana subiri unaongea mpaka anapitiliza he ought to be gentle, and wise. Under no circumstances should CDM try kumpatia hiyo nafasi Joshua........... Ni hayo tu
mimi na wewe tuna undugu gani?Hivi Smile upo ndugu yangu?