Nasafiri lakini nahisi nitachapiwa

Nasafiri lakini nahisi nitachapiwa

Status
Not open for further replies.
hivi nyie bado amjakoma tu kuwaamini hao viumbe waliomsaliti mungu tena peponi kivulini unadhani atashindwa kukusaliti duniani tena juani...Jinga kabisa unamwachia demu wako kila kitu kwani una ndugu na jamaa wewe unadhani demu wako ni ndugu yako?!

sasa wewe nenda ukirudi usije kuja kulia lia hapa kuwa kauza kila kitu na kishaolewa

Ndugu zangu wana tamaa sana nawaogopa
 
Ha ha ndio maana mmoja kanipiga biti kwenye uzi fulani...

Let me give up....

Hhahahahahahaaa

Polee ni yupi huyo aliyekupiga biti looh, mwambie dancing with Kasie bring no harm hahahahahaa

Haya bana tatizo ulitangaza vita mapema
 
kabla hujaondoka mnunulie box la condom incase wakimshika akili
 
You are weak bro! Unaacha kutafuta faranga unaumizana kichwa sababu ya some uni chick? get a grip and man up bro

Acha upuuzi wa kumuachia mwanamke nyumba na biashara zako, atagongewa humo humo kwako.
 
Kama ni wa kuchapwa hata usipoenda watamgonga.. safari yako has nothing to do with it!
 
Sina jinsi nitakua nje ya nchi kwa mwezi huu wote labda mambo yakienda vizuri wakati wa siku kuu nitarudi japo possibility ni ndogo ni safari ya kikazi(sio ya kiserikali) hofu yangu kubwa ni kuchapiwa my bloody nampenda sana lakini watu wanamsumbua sana wakimdannganya wajanja wa mjini nimeisha.

Maana nimemuachia kila kitu funguo ya gari funguo ya nyumba japo yupo chuo na biashara zangu atasimamia yeye

Jamani have respect on my girlfriend sitaki mumsumbue pleaseee!

Kwahiyo usiposafiri unamlinda? kwani kuchapiwa kunahitaji masaa mangapi iwapo mpenzi wako hajatulia
 
Kumbe girlfriend, nilidhani mke. Huyo atavurugwa sana hadi tigo. Na wewe pumba kweli unamwachia funguo ya gari ili iweje mtu ambye unaweza sikua leo ameolewa. Kwenye ugelofrendi wenu unadhani upo peke yako kwa dunia ya leo, hujawahi kuwaza plan B yake ni nini, how if utakataa kumuoa leo unadhani ataanza kutafuta boyfriend mpya. Tumia kichwa yako vizuri sio kufugia nywele tu mkuu. Wanawake hawapo kama wewe unadhani wapo, ni zaidi.
Pia kuchapiwa girlfriend ni jambo la kawaida sana maana sio mkeo
 
Kumbe girlfriend, nilidhani mke. Huyo atavurugwa sana hadi tigo. Na wewe pumba kweli unamwachia funguo ya gari ili iweje mtu ambye unaweza sikua leo ameolewa. Kwenye ugelofrendi wenu unadhani upo peke yako kwa dunia ya leo, hujawahi kuwaza plan B yake ni nini, how if utakataa kumuoa leo unadhani ataanza kutafuta boyfriend mpya. Tumia kichwa yako vizuri sio kufugia nywele tu mkuu. Wanawake hawapo kama wewe unadhani wapo, ni zaidi.
Pia kuchapiwa girlfriend ni jambo la kawaida sana maana sio mkeo

Ana mimba yangu
 
Sina jinsi nitakua nje ya nchi kwa mwezi huu wote labda mambo yakienda vizuri wakati wa siku kuu nitarudi japo possibility ni ndogo ni safari ya kikazi(sio ya kiserikali) hofu yangu kubwa ni kuchapiwa my bloody nampenda sana lakini watu wanamsumbua sana wakimdannganya wajanja wa mjini nimeisha.

Maana nimemuachia kila kitu funguo ya gari funguo ya nyumba japo yupo chuo na biashara zangu atasimamia yeye

Jamani have respect on my girlfriend sitaki mumsumbue pleaseee!
Kumbe Girlfriend!!? Mi najua mke, mwache na yeye abadili taste,
 
Bora uache umemkabidhi taraka ya muda ambayo inaweza kuwa ya kudumu au ikaahirishwa subject to........

Kikubwa jaribu kutathmini ulimpataje na je wakati unampata, hlikuwa hamilikiwi na mwenzio? Ukipata majibu hayo, tafakari kisha chukua hatua....
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom