July Fourth
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 2,240
- 795
dawa ni kununua solex , funga nenda na funguo, hadi utakaporudi.
hivi ukimaliza chakula ukafuta mdomo wako kuna mtu atajua kama umeshakula????Nina mawazo tu hapa njiani nikitembea naye wahuni wanaacha shughuli zao wanamuangalia akiwa peke yake ndo kabisaaa ksi ksi ksi haziishi
Sina jinsi nitakua nje ya nchi kwa mwezi huu wote labda mambo yakienda vizuri wakati wa siku kuu nitarudi japo possibility ni ndogo ni safari ya kikazi(sio ya kiserikali) hofu yangu kubwa ni kuchapiwa my bloody nampenda sana lakini watu wanamsumbua sana wakimdannganya wajanja wa mjini nimeisha.
Maana nimemuachia kila kitu funguo ya gari funguo ya nyumba japo yupo chuo na biashara zangu atasimamia yeye
Jamani have respect on my girlfriend sitaki mumsumbue pleaseee!
Kuna mafundi wa kuchomelea vyuma ataenda waikate hiyo solex, then utashangaa hapo hapo kwa fundi analiwa kiulainiiiiii...... na wadau wakishajua ni mali ya mtu papuchi itasuguliwa mpaka iwake moto