Nasafiri lakini nahisi nitachapiwa

Nasafiri lakini nahisi nitachapiwa

Status
Not open for further replies.
hii ndiyo sheria mama: usiumizwe na vitu ambavyo huwezi kuvibadirisha!!"
jambo LA pili hivi hiyo papuchi ni sabuni ambayo ikitumiwa inaisga?
Muache agawe tu.
 
dawa ni kununua solex , funga nenda na funguo, hadi utakaporudi.

Kuna mafundi wa kuchomelea vyuma ataenda waikate hiyo solex, then utashangaa hapo hapo kwa fundi analiwa kiulainiiiiii...... na wadau wakishajua ni mali ya mtu papuchi itasuguliwa mpaka iwake moto
 
Nina mawazo tu hapa njiani nikitembea naye wahuni wanaacha shughuli zao wanamuangalia akiwa peke yake ndo kabisaaa ksi ksi ksi haziishi
hivi ukimaliza chakula ukafuta mdomo wako kuna mtu atajua kama umeshakula????
Huko unakoenda nawe kachape.
 
Sina jinsi nitakua nje ya nchi kwa mwezi huu wote labda mambo yakienda vizuri wakati wa siku kuu nitarudi japo possibility ni ndogo ni safari ya kikazi(sio ya kiserikali) hofu yangu kubwa ni kuchapiwa my bloody nampenda sana lakini watu wanamsumbua sana wakimdannganya wajanja wa mjini nimeisha.

Maana nimemuachia kila kitu funguo ya gari funguo ya nyumba japo yupo chuo na biashara zangu atasimamia yeye

Jamani have respect on my girlfriend sitaki mumsumbue pleaseee!

Kazi za GENERAL GALADUDU fisadi wa mapenzi
 
Kuna mafundi wa kuchomelea vyuma ataenda waikate hiyo solex, then utashangaa hapo hapo kwa fundi analiwa kiulainiiiiii...... na wadau wakishajua ni mali ya mtu papuchi itasuguliwa mpaka iwake moto

nunua chupi ya chuma . this is plan B
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom