Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,731
Tutamsitiri kwa niaba yako. In case akizidiwa sasa afanyeje... Kama unaogopa ivo vitu, ni bora umuoe kabisa ndio figisu figisu za wabongo zitapungua. Dem hata hujamvalisha engagement ring alafu unadai una hati miliki naye? Kama vipi kabla hujaondoka mtie pete ya engagement kidoleni ndio tutamuheshim kama shem, hivi hivi lazima apitiwe tu kwani hakuna namna.