Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,346
- 9,881
Na watu mechi za wizi huwa wanajituma kinyama wakufunike mwenye mali, uonekane mjinga mjinga
Sina jinsi nitakua nje ya nchi kwa mwezi huu wote labda mambo yakienda vizuri wakati wa siku kuu nitarudi japo possibility ni ndogo ni safari ya kikazi(sio ya kiserikali) hofu yangu kubwa ni kuchapiwa my bloody nampenda sana lakini watu wanamsumbua sana wakimdannganya wajanja wa mjini nimeisha maana nimemuachia kila kitu funguo ya gari funguo ya nyumba japo yupo chuo na biashara zangu atasimamia yeye jamani have respect on my girlfriend sitaki mumsumbue pleaseeeeeeee
Sina jinsi nitakua nje ya nchi kwa mwezi huu wote labda mambo yakienda vizuri wakati wa siku kuu nitarudi japo possibility ni ndogo ni safari ya kikazi(sio ya kiserikali) hofu yangu kubwa ni kuchapiwa my bloody nampenda sana lakini watu wanamsumbua sana wakimdannganya wajanja wa mjini nimeisha maana nimemuachia kila kitu funguo ya gari funguo ya nyumba japo yupo chuo na biashara zangu atasimamia yeye jamani have respect on my girlfriend sitaki mumsumbue pleaseeeeeeee
I like the creativity.
Najua hausafiri ila kuna kitu unatengeneza. Anyway nitarudi!
Unahisi anatengeza Nini labda? hebu nipe faida na mie...
Hahahahhaaa nilikuwa sijagundua kumbe wanawake ni asset eeh......
Au ni waliokuwa peke yake?
Let me keep on singing and dancing my pumpkin songs yiipiiiiii
Hutaendelea kwa mawazo yako. Ila kumwachia business azirun demu wako utalia mm cna ham kabisa nao kwenye mambo yangu mkuu. Nishalizwa
Sasa ule peke ako kwani sumu ile? Acha jamaa wajipigie nao wafaudu
Duh kwa hyo na mmeo akichapisha sawa tu
Kwani ni sabuni ile itaisha hadi nione sio sawa?